ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
na washatangaza kua ime fail pesa za kuchora imepotea ni pesa ya wakenya maskini😀😀😀😀Hahahaha!! Huwa hawa jamaa wanachekesha sana. Hawawezi tena kuipiga picha maana wanaona aibu.
na washatangaza kua ime fail pesa za kuchora imepotea ni pesa ya wakenya maskini😀😀😀😀Hahahaha!! Huwa hawa jamaa wanachekesha sana. Hawawezi tena kuipiga picha maana wanaona aibu.
hahaha kuna mjinga mwinginw anajifanya anaijua dar hata kijichi haijui 😀😀😀😀😀
Kijana tembea uone mengi. Hotel ni hiyo ya makuti. Nyumba zenye paa nyekundu hizo ni makazi. Kenya sio bongo brathee.😀
Kijana tembea uone mengi. Hotel ni hiyo ya makuti. Nyumba zenye paa nyekundu hizo ni makazi. Kenya sio bongo brathee.😀
wewe acha kujiabisha basi😀😀😀😀Kijana tembea uone mengi. Hotel ni hiyo ya makuti. Nyumba zenye paa nyekundu hizo ni makazi. Kenya sio bongo brathee.😀
na washatangaza kua ime fail pesa za kuchora imepotea ni pesa ya wakenya maskini😀😀😀😀
Hahahahaha. Kijana nakuona unakimbia kivuli chako. Unaweza ukathitisha hapo ni makazi ya watu? na ni Nairobi?Kijana tembea uone mengi. Hotel ni hiyo ya makuti. Nyumba zenye paa nyekundu hizo ni makazi. Kenya sio bongo brathee.😀
Hahahaha!! Huwa hawa jamaa wanachekesha sana. Hawawezi tena kuipiga picha maana wanaona aibu.
hata wangeweka kingo still isingefanikiwa kwasababu hawakua na plan before wametafuta shuka kushakucha asubuhi na walijua watakufa watu kama nzige😀😀😀😀😀😀Walidhani wana akili nyingi sana kwamba wachore tu,halafu iwe.
Just simple like that.bora hata wangeweka kingo za mipaka kwa kutumia concrete blocks,tungejua walikuwa na nia.
Hahahahaha. Kijana nakuona unakimbia kivuli chako. Unaweza ukathitisha hapo ni makazi ya watu? na ni Nairobi?
View attachment 782617
Siku zote nasema ogopa sana mji unaojengwa nyuma yako.hata wangeweka kingo still isingefanikiwa kwasababu hawakua na plan before wametafuta shuka kushakucha asubuhi na walijua watakufa watu kama nzige😀😀😀😀😀😀