Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

msasani1-jpg.487256
1.jpg
ist_0931.jpg
b2e240393c7cc93d7c601756877da815.jpg
103242183f303deb424c7fc723df8a91.jpg
b1fc2af290bbc8cb485d1b1d2e003aaa.jpg
9d3f1c8142709c25187050eb5c5b4bae.jpg
52fb6a08c949cf22fb776c8c82f14ffa.jpg
fb_img_1499926517542-jpg.541274
Bringing the fancy beach estates as ussual. Nani hajui kwamba popote pale duniani beach propeties and estates ni za wadosi? Sasa unataka kutuambia kwamba hapo ndo kila mwanadar anaishi? Those estates are the equivalents of Muthaiga, Runda and Karen here in Nairobi ( ingawa bado haziwezifikia viwango vya karen et al). Tuletee earial views of estates where ordinary people in Dar live. Watu kutubeba ufala
 
It may surprise you but all those slums occupy a very small area of Nairobi in terms of square km.
Look at a general Nairobi map from the sky and you'll see lots of green and organized housing.
On the other side, the whole Dar (minus the CBD) looks like an large, endless, ugly Kibera.
jamaa ebu kuwa muelewa,hapo umeambiwa "WORSE SLUMS"umeelewa maana yake???sasa ebu jifikirishe ikiwa dar kuna slums mbona haipo kwa list????
NB:hata ukienda kwa ramani za google yaani " Google map" dar hakuna slums.lakini Nairobi zipo zaidi ya 20!!na ukizingatia kieneo dar ni kubwa kuliko Nairobi,msipende kulazimisha mambo nyie wakenya..
 
Bringing the fancy beach estates as ussual. Nani ajue kwamba popote pale duniani beach propeties and estates ni za wadosi? Sasa unataka kutuambia kwamba hapo ndo kila mwanadar anaishi? Those estates are the equivalents of Muthaiga, Runda and Karen here in Nairobi ( ingawa bado haziwezifikia viwango vya karen et al). Tuletee earial views of estates where ordinary people in Dar live. Watu kutubeba ufala
so hutaki kuletewa picha za dar ulitaka uletewe picha za wapi???
matusi ya nn sasa😀😀😀😀😀
 
mwambie alete ushahidi kua ni dar akileta tu nampa dada yangu bure kabisa picha yakwanza aliopost ni zanzibar
Wewe za Nairobi unazoleta unatoa ushahidi gani? Itabidi uwache kukunywa mchuzi wa albino angalau ufikirie kidogo
 
Wewe za Nairobi unazoleta unatoa ushahidi gani? Itabidi uwache kukunywa mchuzi wa albino angalau ufikirie kidogo
unataka ushahidi nikuletee naomba ujibu unataka ushahidi sasa hvi nikuletee😀😀😀😀😀
 
so hutaki kuletewa picha za dar ulitaka uletewe picha za wapi???
matusi ya nn sasa😀😀😀😀😀
Sasa sisi tukianza kuleta za karen, Riverside, Muthaiga, Runda, Muthangari, kileleshwa nk hapa kutakalika? Tunachotaka ufanye ni kwamba tuletee picha za angani za middle income estates, sio za wadosi. Hizo ulizoleta tunaweza tu linganisha na Hurlingham, Kilimani, Lang'ata na maybe parklands huku Nairobi. Hata westlands haiwezi linganishwa na mbezi beach au oysterbay. Tuletee mitaa za kawaida kama umoja, Kasarani, Buru Buru, Donholm, Kayole, Zimmerman na kadhalika. Those are estates where ordinary people live, sio za wadosi jinsi ulivyofanya hapo juu
 
Sasa sisi tukianza kuleta za karen, Riverside, Muthaiga, Runda, Muthangari, kileleshwa nk hapa kutakalika? Tunachotaka ufanye ni kwamba tuletee picha za angani za middle income estates, sio za wadosi. Hizo ulizoleta tunaweza tu linganisha na Hurlingham, Kilimani, Lang'ata na maybe parklands huku Nairobi. Hata westlands haiwezi linganishwa na mbezi beach au oysterbay. Tuletee mitaa za kawaida kama umoja, Kasarani, Buru Buru, Donholm, Kayole, Zimmerman na kadhalika. Those are estates where ordinary people live, sio za wadosi jinsi ulivyofanya hapo juu
Hpa ni kijichi mbagala 50km from CBD
de5c361c62a31f9c6c07431f295e73ce.jpg
 
org6-jpg.782542

Kwani Slum ni nini? Mbona hapo nyumba zimekaa kwenye mpangilio na mitaa inaonekana na kueleweka? Hapo ni high density area, nyumba hazina viwanja vikubwa. Kingine ni mabati tu yana kutu. Mitaa hio iko magomeni,ilala na temeke. Nyumba ziko karibu karibu ila mitaa imenyooka na inaeleweka. Sio slum hio.
 
jamaa ebu kuwa muelewa,hapo umeambiwa "WORSE SLUMS"umeelewa maana yake???sasa ebu jifikirishe ikiwa dar kuna slums mbona haipo kwa list????
NB:hata ukienda kwa ramani za google yaani " Google map" dar hakuna slums.lakini Nairobi zipo zaidi ya 20!!na ukizingatia kieneo dar ni kubwa kuliko Nairobi,msipende kulazimisha mambo nyie wakenya..

Dar haiko kwa list kwa sababu Dar yote ni slum.
Jibu ni moja. Sijui kwa nini unataka kulazimisha majibu mengine.
 
org6-jpg.782542

Kwani Slum ni nini? Mbona hapo nyumba zimekaa kwenye mpangilio na mitaa inaonekana na kueleweka? Hapo ni high density area, nyumba hazina viwanja vikubwa. Kingine ni mabati tu yana kutu. Mitaa hio iko magomeni,ilala na temeke. Nyumba ziko karibu karibu ila mitaa imenyooka na inaeleweka. Sio slum hio.
One charactrristic ya slum ni mrundukano wa nyumba. Katika hiyo picha jliyoleta, hakuna "breathing space" so it qualifies to be called a slum. The second feature of a slum ni zile nyumba hupatikana huko. Hiyo picha inaonyesha nyumba za mabati zulizorundikana mahali pamoja. There are no public places, no proper planning, and no decent houses (I hear you call them dream houses) What's the difference between that picture above and Kibera? Tell me one or two differences and I will listen to you
 
Hpa ni kijichi mbagala 50km from CBD
de5c361c62a31f9c6c07431f295e73ce.jpg
Yani umeangilia Dar nzima ukaona hii ndio estate ya maana unaweza leta. Halafu, mbona ni estate moja tu umeleta? Dar kuna tu hiyo kijichi (kijiji)? Ndugu, tukubaliane tu kwamba Nairobi could be having some of the worst slums but it has better and organized estates than you would find anywhere in Dar. Mitaa za Nairobi ni bora tena yako organized kushinda za Dar. Kataa tu lakini huo ndo ukweli
 
Back
Top Bottom