Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 8,297
- 3,648
akili yako ndogo sana
akili yako ndogo sana
shule ya mabati hio ni shule kweli???😀😀akili yako ndogo sana
mbona wakiomba chakula hamupeleki??? au vile condom wazungu wanaleta bure????condom walizihitaji, na condom walipata si haba.... sheshe linaendelea tu wakati wewe ukiuguza dryspell lool....
walisema wapi hawana chakula au makaazi???
duuh hilo si banda la kuku
what in the hellIkumbukwe ile bomoa bomoa iliyopitaga kipindi flani kule maeneo ya JET ili kupanua Airport habari ndo hiyo
Nowadays kule kuko plain kabisaaaa
Lengo la hii kitu ni 2030 kila kitu kiwe tayari kwasababu hata hii construction ya terminal 3 ni moja kati ya master plan ya JNIA kuelekea 2030 plan hii ilianza 2013 itaenda hadi 2033 ni kwa miaka 20
View attachment 765264View attachment 765265
aisee jamaa ni bogus sana anafikiri anaweza kumuongopea mbongo..huoni aibu???😀😀😀😀😀😀 baada ya kuchoka kutuonesha renders sasa munatuonesha edited pictures leo nimecheka sana aisee sio kwa povu hili😛😛😛😛 @Jay456watt,IamLee ,Bottas ,LightYagami , aisee msaidieni ndugu yenu nimecheka sana leo
sasa hiyo bus takataka??View attachment 764653 BOARING news HIO NI MATATU KENYA
The LED lights are damn ugly what is that sasa? Christmas tree.. too many colors zinaharibu
No, thats what we call the CBDNdio hii hapa ya 2018 hwa watu wasiwai kusumbua ,View attachment 765360 sasa hapo watakwambia ati ni cbd