Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

DbiFINCWAAEFTql.jpg:large
Woooow....
 
Si kwa ubaya lakini mbona mnaiita hapa cbd maghorofa tano alafu nyuma pamezungukwa na mabada? 😀😀😀
hawa hawajui difference ya CBD na residential area...ndio maana utapata wamama wanabeba kuni na mitungi ya maji kichwani karibu na PSPF...wanaishi hapo na bado wanafanya kazi hapo...this is a very disorganized city
 
Distance ya 400kms tulijenga na miaka mbili na nunusu mbona nyinyi dist ya 150kms dar moro mjenge na miaka mbili? Ingekuwa kenya tungejenga na miezi 12😀😀😀😀😀😀😀😀
vile unaniona mm mjinga sana 😀😀😀😀
422km from nairobi to mombasa mumejenga kwa 3.5yrs na ushahidi naeza kukuletea fala wewe

na ukumbuke tunajenga phase mbili kwa pamoja 722km kenge wewe
AA157A51-7726-4EB9-9E35-376F0A5CD954.jpeg
 
Nahurumia huyu Twiga. Atauliwa nyama yake iliwe au itumike kwa ushirikina. Hivo ndivyo wanavyofanywa zeruzeru huko Kwa majirani wetu kusini.
😀😀😀😀😀😀twiga ashikwe aletwe Kenya mara moja...kule yumo hatarini
 
Distance ya 400kms tulijenga na miaka mbili na nunusu mbona nyinyi dist ya 150kms dar moro mjenge na miaka mbili? Ingekuwa kenya tungejenga na miezi 12😀😀😀😀😀😀😀😀
Dar - Moro reli ni 150km ?? 😀😀 Kwahiyo Moro to Dodoma ni 550km ?? 😀😀 Kuna mkenya kaiba pipa la changaa huku.
 
Utalia sana hatuna jinsi😀😀😀

Ujenzi wa SGR ulipofikia by March😀😀😀

achana nae huyo kilaza roho inamuuma sana kuona tanzania inajenga modern electric train in africa tena bila loan 3.16b usd 722km😀😀😀

ndege 6 zimenunuliwa cash hakuna mambo ya lease wala ya loan
 
Back
Top Bottom