Akileta uniambie pleaseWeka aeriel view tuweze kuona hizo slums kando ya hilo jengo.
hizi barabara unganisha kampala, darslum na kigali na bado hutafikia hii quality....kwa barabara enyewe hakuna competitionAkileta uniambie please
Si kwa ubaya lakini mbona mnaiita hapa cbd maghorofa tano alafu nyuma pamezungukwa na mabada? 😀😀😀
Hapa ni mombasa road south b lakini mulisaaa yeye hajui nairobi zaidi ya kibera😀😀😀
nioneshe mabanda naona huna upuuzi zaidi ya huo😀😀😀😀au ndio ukomo wa upuuzi wakoSi kwa ubaya lakini mbona mnaiita hapa cbd maghorofa tano alafu nyuma pamezungukwa na mabada? 😀😀😀
whoever said kibera is the largest slum should have his head checked!View attachment 755692 Dar has Brt ..Nairobi bado
That's Dar middle class I hearwhoever said kibera is the largest slum should have his head checked!
nchi inafanya mega projects bila mikopo
viva magufuli kaza baba😀😀😀😀
u talk as if mulijenga reli kwa miezi sita 😀😀😀Leta picha tu moja ya hiyo reli other wise ccm ni walewale😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Distance ya 400kms tulijenga na miaka mbili na nunusu mbona nyinyi dist ya 150kms dar moro mjenge na miaka mbili? Ingekuwa kenya tungejenga na miezi 12😀😀😀😀😀😀😀😀u talk as if mulijenga reli kwa miezi sita 😀😀😀
yani munahaha kweli tanzania kujenga reli hehe
wasiwssi waki ikiwa ushaambia first phase 2019 november and second phase 2020 to dodoma