Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nkt! We kwanza acha ni kuchanue kiasi ju nikama hujielewi.... Do you know the origin of swahili?? Jibu hio swali alafu ujiulize kama we ni mswahili Ujinga peleka kigoma bana.... English ni international language Acha ushamba buda.... Kama Kiingereza ni Miujiza kwakwo basi sijui ukiskia French utasemaje....
we ni mbulula usiye na mipaka
 
Nkt! We kwanza acha ni kuchanue kiasi ju nikama hujielewi.... Do you know the origin of swahili?? Jibu hio swali alafu ujiulize kama we ni mswahili Ujinga peleka kigoma bana.... English ni international language Acha ushamba buda.... Kama Kiingereza ni Miujiza kwakwo basi sijui ukiskia French utasemaje....
Hata American dollar, and British pounds are international currencies, why each country has its own currency?
 
Ariel view😛😛😛😛😀😀
maxresdefault.jpg
 
Leta picha za izo barabara zenye ziko under construction wacha kuleta makaratasi *****
Lete picha inayoonyesha wapi GDP yenu inakokwenda, kwanini Nairobi hakuna ,aji, hakuna good drainage system, full of slums na hakuna kazi kwa vijana.
 
Back
Top Bottom