Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ndio...ila kwa sasa sioni haja ya kuharakisha...the railway is attaining its intended purpose successfully licha ya kwamba ni reli ya diesel....pengine baada ya miaka 10 waje waweke iwe ya stima ila kwa sasa sioni haja ya kutumia hela zaidi...tayari reli imeanza kuonyesha potential kubwa kwenye mambo ya mizigo....ikija kwa mambo ya abiria nadhani hakuna haja ya kujirudia....sasa waganda wakiamka waach kulala waje waunganishe naona mkopo ukijilipa vizuri sana...
sababu kubwa wafanya biashara wengi walikataa kutumia reli hio ni expensive fuel ni gharama na pia inaendeshwa kulipa deni kwa haraka, ndio maana inawaeka katika wakat mgumu kila mfanya biashara ni profit motivated

alaf swala la electric bado sana ndugu usifkiri ni kama kula chapati
 
Umeongea kiungwana kabisa...
Uganda nao wanaendekeza usingizi siwaoni kwenye speed inavyotakiwa
hapana uganda ni wajanja hawataki kuingia walipoingia wakenya kwasababu wanajua kua wakenya kwenye reli hio wamebugi ndio maana unaona wanachelewesha maksudi japokua kenya inawabembeleza,😀😀😀

waswahili husema ukimwamsha alielala utalala wewe
 
Millenium tower ni 30? 3 flrs hazitumiki zipo juu kabisa nasijui huzitumia kufanyia nn
Anyway PPF is toped out already kama issue ni kua complete tuitoe...there is no winner ,draw
hehehe kwa maelezo yake nilivoyasoma alitala akuoneshe pinnacle na montave hebu mwamabie akuoneshe tuzione nimecheka sana😀😀😀😀😀😀😀😀
 
RIP
F4FD51E3-7A61-4BBF-9053-AB7ADB587647.jpeg
 
chakwanza karibu sana mgeni jamii forum 😀😀

View attachment 752924
Hii thread nimekuwa guest for 3years but nlishindwa kujoin ju nilithani mko na vitu za maana dar..... kumbe NI kujirudia tu.... I can't advice a tourist to visit dar is slum heri Malindi.... Naskia huko mnafunzwa hadi Math na Kiswahili... Nkt!! Bullshit!! MARA OHH upanga OHH ukisu OHH ujembe... Surely hizo ndio nini sasa Dar ndio mkokoteni ya kuelekea wapi.
 
Hii thread nimekuwa guest for 3years but nlishindwa kujoin ju nilithani mko na vitu za maana dar..... kumbe NI kujirudia tu.... I can't advice a tourist to visit dar is slum heri Malindi.... Naskia huko mnafunzwa hadi Math na Kiswahili... Nkt!! Bullshit!! MARA OHH upanga OHH ukisu OHH ujembe... Surely hizo ndio nini sasa Dar ndio mkokoteni ya kuelekea wapi.
umejoin 3 yrs ago serious😀😀😀😀
yani unaamka asbh mapema kutudanganya sasa
9EDB9E63-1417-44FD-A079-2742ACA58FCC.jpeg
 
Ulitoa 1 na mm moja apo zimecancel each other...nmeongeza PPF tower which is 37flr sasa badala uendelee kujib umeanza kulia lia
Ppf si 37 ni 35flrs huu upuzi wa kuongezea floors mnatoanga wapi smh.. .
 
Serikali inayokopa hela kulipa madeni kamwe haiwezi lipa hilo deni, China will colonize this failed state in the nearest future, I bet.
old SGR with old trains for 4b usd kutoka msa to nairobi just 422km yani hapo mchina ndipo nimemuona hafai na wanajuta japokua wanaficha aibu😀😀😀😀
 
floors zimevuka 35 na sahii ziko 37 na bado ujenzi unaendelea 😀😀😀😀
Leta picha itakayo onyesha izo 37floors alafu ntatoka kwa i thread *****, tpa 35 mnasema 40,mzizima 33,35 mnasema 37 ,mnf 30 mnasema 32 yaani kila jengo lazima muongezee floors.
 
Leta picha itakayo onyesha izo 37floors alafu ntatoka kwa i thread *****, tpa 35 mnasema 40,mzizima 33,35 mnasema 37 ,mnf 30 mnasema 32 yaani kila jengo lazima muongezee floors.
hio ni mzizima ishavuka 35fl na ujenzi unaendelea
1675E38F-5427-47D1-91E6-6EB22D306E9F.jpeg
 
Back
Top Bottom