Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

huwa naogopa kuku engage jinsi ulivo teen kiakili jizee kuukuu la 60s😀😀😀umenyoa mvi na cabbage kwenye makwapa lakini?😀😀😀 lakini ni just jokes
ni kweli mi ni jizee la 60s na wala sijari.

shida yangu ni wewe kijana wa 20s na tabia yako ya "use.nge_nyaji".

mungu akikuweka hai ukafika umri kama wangu wa 60s utakuwa tayari ni "mse.nge_nyaji" uliyekubuhu.
 
ni kweli mi ni jizee la 60s na wala sijari.

shida yangu ni wewe kijana wa 20s na tabia yako ya "use.nge_nyaji".

mungu akikuweka hai ukafika umri kama wangu wa 60s utakuwa tayari ni "mse.nge_nyaji" uliyekubuhu.
😀😀😀sawa mzee
 
Dar es salaam

DbSY8WbXcAAsZY0.jpg
Yani since hii thread kuanza naona buildings tatu za blue na vibanda Mia moja hapo CHINI kwani nyinyi watu WA Tz hamna kitu ingine mpya... Nkt!! Mna Boo... Na kwa wale mnadiss KIBITCH kwani hamjui huko ndio maceleb hutoka... Dar mnajichocha na diamond alikiba wooteh wanaishi Nai including Mr nice mwenye NI hustler ghetto
 
Yani since hii thread kuanza naona buildings tatu za blue na vibanda Mia moja hapo CHINI kwani nyinyi watu WA Tz hamna kitu ingine mpya... Nkt!! Mna Boo... Na kwa wale mnadiss KIBITCH kwani hamjui huko ndio maceleb hutoka... Dar mnajichocha na diamond alikiba wooteh wanaishi Nai including Mr nice mwenye NI hustler ghetto

kama hapa unaona tower mbili,nai sidhani kama unaona kitu zaidi ya twiga wa polini.
 
Yani since hii thread kuanza naona buildings tatu za blue na vibanda Mia moja hapo CHINI kwani nyinyi watu WA Tz hamna kitu ingine mpya... Nkt!! Mna Boo... Na kwa wale mnadiss KIBITCH kwani hamjui huko ndio maceleb hutoka... Dar mnajichocha na diamond alikiba wooteh wanaishi Nai including Mr nice mwenye NI hustler ghetto
chakwanza karibu sana mgeni jamii forum 😀😀

0C8499B6-0E99-47B7-A12C-104097A87660.jpeg
 
Toa vigezo vinavyokufanya useme Nairobi ni jiji la maana wakati
1)It has high rate of unemployment
2)Highest crime rate
3)Big and largest number of slums
4)Big gap between rich and poor
5)Very primitive and disorganized public transportation system
6)Very dirty
7)No enough water
8)Poor sanitation
9)Poor public Hospitals
10)Tribalism.
These are indicators of development.
wakenya ni wajinga
 
Back
Top Bottom