kitu kinaitwa density kwa dar kusanya nairobi+msa+kisumu+kampala ndio kidogo munaeza nusa harufu ya darHow many high-rise buildings above 60metres are there in dar?? Ya Nairobi naleta ndio tujue mwenye skyscrapers ni Nani
functional gari moshi😀😀😀😀
wow nikama imeanza kupick up pace....functional gari moshiDry Port Nairobi![]()
🙂 🙂Wambie hii ni outering road wasije wakasema ni thika road alafu wakikuonyesha barabara ya lane tu kumi unitag
pia na wewe unaijua Pipeline estate....waulize watz wenzako waliofika Nairobi watakujuzahivi unaijua kkoo kweli,au umeamua ti kuzingua!!!!???
80km/hr apo ndio maximum speed hehe afu ni mpya sio tazara ya miaka ya 1900'sfunctional gari moshi inabeba cargo kwel kwel
![]()
![]()
![]()
![]()
Weka tuionepia na wewe unaijua Pipeline estate....waulize watz wenzako waliofika Nairobi watakujuza
unajua mkona kaushamba flani nyie wabongo..yaani mnaskia reli inajengwa mnadhani mmefika sijui mbinguni au...hahahahaha...railways are not just about electricity or beautiful trains or beautiful stations....cha muhimu ni biashara inayofanya reli...mfano cargo ya Uganda itakua inapitia reli hii...piga hesabu impact kwa economy...sasa beautiful trains zisizobeba mizigo ya kutosha ni za kazi gani? jiulize swali hilo kisha utafakari...sasa hivi mizigo imeanza kupiku mpaka Nairobi depot imeanza kuwa na cases of overflow...hela inayoingiza hii reli ya moshi huwei fananisha na reli yenu inayopeleka mizigo nchi ndogo ndogo kama rwanda80km/hr apo ndio maximum speed hehe afu ni mpya sio tazara ya miaka ya 1900's
Mna utani nyie
Ww umetafsiri kama ushamba lakin kaa ukijua muda ni pesa...iyo sgr zaidi itafungua Tz uko nje ni ziaida...kwanza itapunguza barabara zetu kuharibika kila mara pili itapunguza gharama za bishaa kwan usafirishaji utakua rahisi zaidi ya sasaunajua mkona kaushamba flani nyie wabongo..yaani mnaskia reli inajengwa mnadhani mmefika sijui mbinguni au...hahahahaha...railways are not just about electricity or beautiful trains or beautiful stations....cha muhimu ni biashara inayofanya reli...mfano cargo ya Uganda itakua inapitia reli hii...piga hesabu impact kwa economy...sasa beautiful trains zisizobeba mizigo ya kutosha ni za kazi gani? jiulize swali hilo kisha utafakari...sasa hivi mizigo imeanza kupiku mpaka Nairobi depot imeanza kuwa na cases of overflow...hela inayoingiza hii reli ya moshi huwei fananisha na reli yenu inayopeleka mizigo nchi ndogo ndogo kama rwanda
Mikocheni n makumbusho sasa naomba jengo lenye flr 30 mbali na CBD tafadhal nasubiri View attachment 753832