Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ww umetafsiri kama ushamba lakin kaa ukijua muda ni pesa...iyo sgr zaidi itafungua Tz uko nje ni ziaida...kwanza itapunguza barabara zetu kuharibika kila mara pili itapunguza gharama za bishaa kwan usafirishaji utakua rahisi zaidi ya sasa
Haujataka kuangalia muda ndio maana ujajisoma point yangu ya msingi,manake katika kila saa moja mnakua nyuma kwa 40km kama ni safari ya saa nane inakuaje?
hahahahaa nimekuelewa bas...lakini kwa sasa uchumi ndogo ndogo kama ya Uganda haihitaji mwendo kasi..mwendo kasi si utabeba mizigo umalize kabla ya saa sita mchana kufika..nasema hivi kwasababu mizigo ya rwanda na tz sidhani kama ni za kutosha...mwendo kasi ina make sense kwenye nchi zilizoendelea zinazofanya biashara ya magnitude ya juu....besides, sasa hivi mzigo kupeleka uganda inachukua zaidi ya wiki...reli hio ya moshi itapunguza mpaka kwa 24 hrs pekee yake......sidhani kama kuna haja ya mwendo kasi jinsi mizigo yamo wastani tu ukilinganisha na mizigo ya europe mfano
 
unajua mkona kaushamba flani nyie wabongo..yaani mnaskia reli inajengwa mnadhani mmefika sijui mbinguni au...hahahahaha...railways are not just about electricity or beautiful trains or beautiful stations....cha muhimu ni biashara inayofanya reli...mfano cargo ya Uganda itakua inapitia reli hii...piga hesabu impact kwa economy...sasa beautiful trains zisizobeba mizigo ya kutosha ni za kazi gani? jiulize swali hilo kisha utafakari...sasa hivi mizigo imeanza kupiku mpaka Nairobi depot imeanza kuwa na cases of overflow...hela inayoingiza hii reli ya moshi huwei fananisha na reli yenu inayopeleka mizigo nchi ndogo ndogo kama rwanda
Kama huna kichaa basi una matatizo ya akili, ukiacha Uganda ambayo 80% inapitia Kenya na 20% Tanzania, Mizigo yote ya Rwanda, Burundi na Eastern DRC inatumia bandari ya Dar, na kumbuka kwamba hizi nchi zitasafirisha minerals resources hawategemei imports zaidi kama ilivyo Uganda, export kubwa ya Uganda ni crude oil ambayo tuliwapokonya, pia reli yetu itakuwa cheap kusafirisha mizigo kwasababu ni electric na hatukuchukua mkopo kwahiyo hakuna gharama ya interest.
 
hahahahaa nimekuelewa bas...lakini kwa sasa uchumi ndogo ndogo kama ya Uganda haihitaji mwendo kasi....mwendo kasi ina make sense kwenye nchi zilizoendelea zinazofanya biashara ya magnitude ya juu....besides, sasa hivi mzigo kupeleka uganda inachukua zaidi ya wiki...reli hio ya moshi itapunguza mpaka kwa 24 hrs pekee yake......sidhani kama kuna haja ya mwendo kasi jinsi mizigo yamo wastani tu ukilinganisha na mizigo ya europe mfano
Haja ipo kuna mahal mlikosea but you can start over again. ..
 
hahahahaa nimekuelewa bas...lakini kwa sasa uchumi ndogo ndogo kama ya Uganda haihitaji mwendo kasi....mwendo kasi ina make sense kwenye nchi zilizoendelea zinazofanya biashara ya magnitude ya juu....besides, sasa hivi mzigo kupeleka uganda inachukua zaidi ya wiki...reli hio ya moshi itapunguza mpaka kwa 24 hrs pekee yake......sidhani kama kuna haja ya mwendo kasi jinsi mizigo yamo wastani tu ukilinganisha na mizigo ya europe mfano
Haja ipo kuna mahal mlikosea but you can start over again. ..
 
Haja ipo kuna mahal mlikosea but you can start over again. ..
ndio...ila kwa sasa sioni haja ya kuharakisha...the railway is attaining its intended purpose successfully licha ya kwamba ni reli ya diesel....pengine baada ya miaka 10 waje waweke iwe ya stima ila kwa sasa sioni haja ya kutumia hela zaidi...tayari reli imeanza kuonyesha potential kubwa kwenye mambo ya mizigo....ikija kwa mambo ya abiria nadhani hakuna haja ya kujirudia....sasa waganda wakiamka waach kulala waje waunganishe naona mkopo ukijilipa vizuri sana...
 
Umeuliza jengo lililo over 30 floors na halipo CBD nimekupea, hizi blah blah za nini Tena?
Nilitaka nikuonyeshe kwamba msuli wako mdogo...kama una nondo siutume mbona umeanza kulia mapema wakat hatujamaliza? Jibu na PPF basi Kama kwel mko vizur
 
ndio...ila kwa sasa sioni haja ya kuharakisha...the railway is attaining its intended purpose successfully licha ya kwamba ni reli ya diesel....pengine baada ya miaka 10 waje waweke iwe ya stima ila kwa sasa sioni haja ya kutumia hela zaidi...tayari reli imeanza kuonyesha potential kubwa kwenye mambo ya mizigo....ikija kwa mambo ya abiria nadhani hakuna haja ya kujirudia....sasa waganda wakiamka waach kulala waje waunganishe naona mkopo ukijilipa vizuri sana...
Umeongea kiungwana kabisa...
Uganda nao wanaendekeza usingizi siwaoni kwenye speed inavyotakiwa
 
You asked for a building in Nairobi over 30 floors outside the CBD and I gave you one so how have I failed?
Ulitoa 1 na mm moja apo zimecancel each other...nmeongeza PPF tower which is 37flr sasa badala uendelee kujib umeanza kulia lia
 
Ulitoa 1 na mm moja apo zimecancel each other...nmeongeza PPF tower which is 37flr sasa badala uendelee kujib umeanza kulia lia
You're not straight forward in your questions then. Be straight forward and understandable. I didn't even know you were competing.

1. The tower you posted first is millennium tower and it's 27 floors high. So it cancels nothing.
2. PPF tower is incomplete - unless you want me to include incomplete towers in Nairobi too.

Hence so far it's Nairobi 1, Dar 0.
 
You're not straight forward in your questions then. Be straight forward and understandable. I didn't even know you were competing.

1. The tower you posted first is millennium tower and it's 27 floors high. So it cancels nothing.
2. PPF tower is incomplete - unless you want me to include incomplete towers in Nairobi too.

Hence so far it's Nairobi 1, Dar 0.
Millenium tower ni 30? 3 flrs hazitumiki zipo juu kabisa nasijui huzitumia kufanyia nn
Anyway PPF is toped out already kama issue ni kua complete tuitoe...there is no winner ,draw
 
Millenium tower ni 30? 3 flrs hazitumiki zipo juu kabisa nasijui huzitumia kufanyia nn
Anyway PPF is toped out already kama issue ni kua complete tuitoe...there is no winner ,draw
Millennium Tower is 27 floors. Why do you guys love adding extra floors to your buildings?
 
functional gari moshi inabeba cargo kwel kwel
411eFBL.jpg

ANLufDu.jpg

0Ml0oTJ.jpg

qhM73Hs.jpg
hehhee hapo ndipo nilimuona mchina sumu😀😀
 
unajua mkona kaushamba flani nyie wabongo..yaani mnaskia reli inajengwa mnadhani mmefika sijui mbinguni au...hahahahaha...railways are not just about electricity or beautiful trains or beautiful stations....cha muhimu ni biashara inayofanya reli...mfano cargo ya Uganda itakua inapitia reli hii...piga hesabu impact kwa economy...sasa beautiful trains zisizobeba mizigo ya kutosha ni za kazi gani? jiulize swali hilo kisha utafakari...sasa hivi mizigo imeanza kupiku mpaka Nairobi depot imeanza kuwa na cases of overflow...hela inayoingiza hii reli ya moshi huwei fananisha na reli yenu inayopeleka mizigo nchi ndogo ndogo kama rwanda
inaingiza shs ngap tudanganye sasa??
 
hahahahaa nimekuelewa bas...lakini kwa sasa uchumi ndogo ndogo kama ya Uganda haihitaji mwendo kasi..mwendo kasi si utabeba mizigo umalize kabla ya saa sita mchana kufika..nasema hivi kwasababu mizigo ya rwanda na tz sidhani kama ni za kutosha...mwendo kasi ina make sense kwenye nchi zilizoendelea zinazofanya biashara ya magnitude ya juu....besides, sasa hivi mzigo kupeleka uganda inachukua zaidi ya wiki...reli hio ya moshi itapunguza mpaka kwa 24 hrs pekee yake......sidhani kama kuna haja ya mwendo kasi jinsi mizigo yamo wastani tu ukilinganisha na mizigo ya europe mfano
so kenya imeendelea??? ohhh GOD😀😀😀
sijui kwann wakat mwengine hua unaongea nonsense
 
Back
Top Bottom