Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ohh kumbe westy ni CBD ryt???😀😀😀😀
ama kweli Mungu wasaidie wakenya Jay456watt njoo umuokote ndugu yako

na usifkiri ilala hapo imeisha ilala ni kubwa sana maana hapo hatujagusa malapa wala hatujafika bugurun😛😛
Kumbe hata hujifahamu. Ndio maana unalinganisha kifo na usingizi.
 
kutokana umaarufu mkubwa wa wanamziki wa tanzania, tanzania ina control kubwa ya showbiz katika ukanda wote east africa.

ndio maana habari zinazohusu wasanii wa tanzania huwa gumzo kubwa sana.

moja kati ya habari inayo trend sana kwenye media, pages na blogs za kenya ni harusi ya ali kiba ambayo itarushwa live na azam tv kuanzia kesho mida ya jioni kutokea jiji la mombasa.

blog ya "nairobi news" haijataka kubaki nyuma.


View attachment 749266View attachment 749267View attachment 749268
 
lotos-inn-suites-24235-fd0693bf733de3380318813ee955686f3bd66819.jpg
1728999_0.jpg
4d19ba78-693c-4116-b1fb-93bb947c3c5d.jpg


Take notes on unique architecture. Sio kujenga buildings za 18th century karne hii. WESTY sio size yenu.
 
sijui kama unajua kiufasaha maana ya CBD tuliza akili ndugu usifkiri kila ukionacho ni sawa kwako😀😀
Both are administrative areas, nimekuambia masomo muhimu, hata characteristics za CBD hujui. Punguza kuropokwa upunguze aibu.
 
Back
Top Bottom