Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

NDINDA hebu fanya juu chini tupate updated pic ya ilala tuwaoneshe hawa wakenya 😀😀😀😀 na pia nitaongea na Moiz hussein
 
84BDA182-B689-43FB-BA56-F314D9AF2BC8.jpeg
 
Sasa umetoka kwa land umerukia majengo hahahahaha
vovote tu ni uelewa wako japokua najua unatapatapa na mfamaji haishi kutapatapa ilala imekusumbua kichwa sasa hujui cha kufanya kama mlijua hii ni ile dar ya 90s basi mumechelewa sana😀😀😀😀
 
vovote tu ni uelewa wako japokua najua unatapatapa na mfamaji haishi kutapatapa ilala imekusumbua kichwa sasa hujui cha kufanya kama mlijua hii ni ile dar ya 90s basi mumechelewa sana😀😀😀😀
Inisumbue kivipi na picha za 3 years ago hakuna kitu hapo jaribu kutulia. Westy sio CBD ya kulinganisha na hio usingizi upcoming ya Ilala bado mko ndogo.
 
Inisumbue kivipi na picha za 3 years ago hakuna kitu hapo jaribu kutulia. Westy sio CBD ya kulinganisha na hio usingizi upcoming ya Ilala bado mko ndogo.
ohh kumbe westy ni CBD ryt???😀😀😀😀
ama kweli Mungu wasaidie wakenya Jay456watt njoo umuokote ndugu yako

na usifkiri ilala hapo imeisha ilala ni kubwa sana maana hapo hatujagusa malapa wala hatujafika bugurun😛😛
 
Back
Top Bottom