Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

53D00706-F47C-445D-A99A-F054CA5EF749.jpeg
EC12B02A-011D-4454-8236-B26EC97C8010.jpeg
 
Yaani haya majengo yalikamilika miaka mitatu ilioisha na hayana tenants? Alafu Mshashinda hapa mkituambia pinako ni white elephant😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Mashirika ya umma yaache kuwekeza kwa majengo kwani yanakua white elephant😀😛😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
84C22622-9176-4251-9827-5779002A83B5.jpeg
aibu tupu😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Yaani haya majengo yalikamilika miaka mitatu ilioisha na hayana tenants? Alafu Mshashinda hapa mkituambia pinako ni white elephant😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Mashirika ya umma yaache kuwekeza kwa majengo kwani yanakua white elephant😀😛😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀View attachment 744550 aibu tupu😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Nani alikuambia hayana tenants? Am quite you have no idea how they even look like kwa ndani, do you?
 
Nani alikuambia hayana tenants? Am quite you have no idea how they even look like kwa ndani, do you?
Sitaki blabla kwani sina macho? Every person that have eyes can see that those three buildings are practically empty and i have that before.....
 
Ichiboy na mulisaa watakwambia iyo picha ni kitambo ama tenant wamelala😀😀😀😀😀😀😀😀😱😀😛😛😛😛
 
Tembo weupe alafu

Zikipata tenants unitag😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
so unaona tunajenga for nothing au😀😀😀
safari hii mutaongea maneno yote ya kwenye kanga lakin kisu kiko pale pale🙄🙄🙄
 
Ichiboy na mulisaa watakwambia iyo picha ni kitambo ama tenant wamelala😀😀😀😀😀😀😀😀😱😀😛😛😛😛
hizo twin tower apartments kwenye jengo moja zilisha nunuliwa zote. Hilo jingine nusu yote ilishachukuliwa kwa updates nilizo kuwa nazo 4 years before.
 
hizo twin tower apartments kwenye jengo moja zilisha nunuliwa zote. Hilo jingine nusu yote ilishachukuliwa kwa updates nilizo kuwa nazo 4 years before.
Mbavu zangu😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 Zilichukulia alafu kila usiku wanakuanga wamezima taa eh? 😀😀😀😀😀😀
 
so unaona tunajenga for nothing au😀😀😀
safari hii mutaongea maneno yote ya kwenye kanga lakin kisu kiko pale pale🙄🙄🙄
Asante kwa kunijibu mnajenga for nothing ,narudia zikipata tenants unitag😛😱😛😛😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Mnajenga majengo kisa nairobi wanajenga Na lazima muwapiku ata kama nikua na majengo empty😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 Na tandale wananchi hawana nyumba za hadhi, Mashirika ya umma yakajenge nyumba tandale😀😛😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
hizo twin tower apartments kwenye jengo moja zilisha nunuliwa zote. Hilo jingine nusu yote ilishachukuliwa kwa updates nilizo kuwa nazo 4 years before.
anaita white elephant na imeshajengwa sijui yakwao wataita vp purple elephant au😀😀😀😀
 
Mnajenga majengo kisa nairobi wanajenga Na lazima muwapiku ata kama nikua na majengo empty😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 Na tandale wananchi hawana nyumba za hadhi, Mashirika ya umma yakajenge nyumba tandale😀😛😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
na hamuiwezi dar kwa density yani chukua nairobi+ msa + kisum+ kampala+ kigali hamuingii kwa dar kwa density ya majengo
 
Back
Top Bottom