Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
hilo jambo lipo kila sehemu hata mchina aliye town na mchina aliye village kimazungumzo wa aina tofauti yakimaongezi.....na pia kwenye kutypeWatanzania wangapi kwa forums zenu hutype broken swahili...
especially wale wa bara ,wale wa pwani ndio wanaifahamu vizuri hao wengine bure kabisa
Fika Arusha na mwanza ndio utajua hamjui kiswahili
kila mtu anashrub!!!
hata hao wazungu wenyewe unowaabudu kama wame zako nao wapo kibao tu wanaokosea sema ni vile unavyojihisi wajua english angali hauijui ipasavyo .....
kwa hiyo point umefel