Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tz is planning to showcase their products in Kenya at KICC, atleast to try to balance the trade deficit.

I got invited, we also had coffee with the waziri..

IMG-20180412-WA0007.jpg
 
She was complaining alot why we do not have alot of Tz brands in Kenya while in Tz Kenyan Products are everywhere.
 
She was complaining alot why we do not have alot of Tz brands in Kenya while in Tz Kenyan Products are everywhere.
Tunabidhaa nyingi tu za kuuza Kenya sema mlizikataa na Kikwete kwa sababu hakua na maneno mengi tukatulia, mfano Unga, Gas, wheat flour, na vingine..But now Magufuli anataka Trade balance ndio maana serikali yenu inamchukia.. Mngekua mnaakili wala msingepata shida ya chakula na bei kua juu, tungewauzia mchele, unga, na chakula vingine vingi tu kwa bei Rahisi Sana sema Serikali ya jubilee iko Ki business halafu haijali watu wake ndio maana .
 
Tunabidhaa nyingi tu za kuuza Kenya sema mlizikataa na Kikwete kwa sababu hakua na maneno mengi tukatulia, mfano Unga, Gas, wheat flour, na vingine..But now Magufuli anataka Trade balance ndio maana serikali yenu inamchukia.. Mngekua mnaakili wala msingepata shida ya chakula na bei kua juu, tungewauzia mchele, unga, na chakula vingine vingi tu kwa bei Rahisi Sana sema Serikali ya jubilee iko Ki business halafu haijali watu wake ndio maana .
magu ndio kiboko yao 😀😀😀😀 hawana hamu nae na mpaka anatoka madarakani watakua washanyooka kama mchele basmat😛

alaf pili wanaogopa sana bidhaa za tanzania dhidi ya bidhaa zao ndio maana azam walimbania kufungua kiwanda cha unga mombasa
 
jumamosi hii nimeamua kui-dedicate katika kuzungumzia baadhi ya vitu vinavyonivutia nchini kenya.sitozungumza jambo lolote baya.

hii ni mara ya kwanza kwa mimi kufanya hivi na nafanya hivi makusudi ili kuondoa dhana potofu waliyojijengea wakenya kuwa mimi kadoda11 jizee la 60s naichukia sana kenya.

naanza na governor wa machakos alfred mutua.huyu ni moja ya wanasiasa wa kenya anayenivutia sana kisiasa.

natamani siku moja aje kuwa rais na amiri jeshi mkuu wa majeshi ya kenya.ila sidhani kama wakikuyu na wakalenjin kama watakubari.

IMG_20180414_094406.jpg
 
Tatizo wapo bize wamerundikana Nairobi. Kama pia walikua wanautaka mlima kilimanjaro wangejenga mji hapo mlimani kama sisi tulivoweka Moshi na wilaya zake wao wakajificha Nairobi alafu wanasema mlima wao.
ha haaaa
 
Back
Top Bottom