Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

DOnFvflX0AA12Y5.jpg
22639231_369749353481275_2252076783241265152_n.jpg
26873009_922868094547759_6676328934222594048_n.jpg
DUFg0RiXcAE2sPE.jpg
DUFg0RJWkAAqWPC.jpg
DWqJwzFW0AAe7oZ.jpg
12093669_1677282179154731_483839691_n.jpg
 
hiyo hit huku tz hakuna anayejua... itaishia kuvuma huko huko kwa counties zenyu.
Sauti solo bado wapo kweli?
Ligi ya TZ ni nzito sana. Kwanza watanzania wenyewe wanawapenda wasanii wao.
Sauti solo na misauti yao kama waimba kwaya hawawezi ligi.
 
Souti sol wiki nzima views 419k pekee

upload_2018-4-6_11-56-40.png



Nendy Music siku moja views 135k

upload_2018-4-6_11-59-2.png



Sauti sol ni wadogo sana kwenye anga za muziki
 
Those tz musicians are not patriots video wanashoot ulaya afrika kusini na marekani ju nchi kwao ni maskini na underdeveloped
Wakenya wengi hasa wasomi wameikimnia nchi yao wako nje wqnafanya kazi wakati Kenya ina upungufu mkubwa wa wataalamu hasa doctors and nurses, kwanini wasibaki Kenya kuwahudumia wananchi, are they not patriots, au kwasababu Kenya is very poor and underdeveloped?
https://www.nation.co.ke/news/polit...peaceful-poll/1064-1893004-j93e9vz/index.html
 
watshoot video tz gani?? hii moja tu??😀😀😀😀lazima waende marekani ama afrika kusini...wanatoroka umaskini na ubaradhuli wa bongo
 
Back
Top Bottom