Masterkratos
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 584
- 576
254 doesn't **** with youView attachment 735966
Collo ulikuja na gear ya ustaarabu lakini naona maji yamekushika shingoni umeona urudi tu kutoa povu kama kawaida.
254 doesn't **** with youView attachment 735966
World's largest slums are in South Africa, Kenya, India and Pakistan.I would like to know if tz is more developed or richer than any of these listed
India and Pakistan are rich countries?World's largest slums are in South Africa, Kenya, India and Pakistan.I would like to know if tz is more developed or richer than any of these listed
Kadoda kwani HUSSEIN MACHOZI aliendaga wapi,
alikuwa anaimba poa sana,lafudhi ya kizanzibari/mombasa hivi
Ati souti sol,hussein machozi kwa sasa ni zilipendwa... hana tofauti na sauti sol.
anatoa ngoma moya kila leo lakini hazipati kiki.
hiyo hit huku tz hakuna anayejua... itaishia kuvuma huko huko kwa counties zenyu.Ati souti sol,
hao vijana wameachilia hits 2018...

Sauti solo bado wapo kweli?hiyo hit huku tz hakuna anayejua... itaishia kuvuma huko huko kwa counties zenyu.![]()
![]()
yupo sema ameachana na mziki wanafanya shuguli zingineKadoda kwani HUSSEIN MACHOZI aliendaga wapi,
alikuwa anaimba poa sana,lafudhi ya kizanzibari/mombasa hivi
Wakenya wengi hasa wasomi wameikimnia nchi yao wako nje wqnafanya kazi wakati Kenya ina upungufu mkubwa wa wataalamu hasa doctors and nurses, kwanini wasibaki Kenya kuwahudumia wananchi, are they not patriots, au kwasababu Kenya is very poor and underdeveloped?Those tz musicians are not patriots video wanashoot ulaya afrika kusini na marekani ju nchi kwao ni maskini na underdeveloped