ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Those tz musicians are not patriots video wanashoot ulaya afrika kusini na marekani ju nchi kwao ni maskini na underdeveloped
Those tz musicians are not patriots video wanashoot ulaya afrika kusini na marekani ju nchi kwao ni maskini na underdeveloped
endeleeni kushoot video kwa counties... sisi na umasikini wetu tutaendelea ku shoot videos USA, south africa na europe sababu pesa ya kufanya hivo tunayo.watshoot video tz gani?? hii moja tu??😀😀😀😀lazima waende marekani ama afrika kusini...wanatoroka umaskini na ubaradhuli wa bongo

Wameshindwa kupambana katika music industry wanaanza kutafuta sababu za kushindwa, tumewapiga bao katika biggest and modern airport kabla haijazinduliwa tayari wameanza kutafuta sababu za kuhalalisha kushindwa, stupid kunyans.endeleeni kushoot video kwa counties... sisi na umasikini wetu tutaendelea ku shoot videos USA, south africa na europe sababu pesa ya kufanya hivo tunayo.
tunafanya hivo ili kucheza na diversities katika kiwanda cha mziki.
na ndio maana kwa east africa, music videos zinazoongoza kuchezwa na international tv channel, ni zile za kutoka bongo.
tazama channel kama mtv base, box africa na trace tv.![]()
![]()
endeleeni kushoot video kwa counties... sisi na umasikini wetu tutaendelea ku shoot videos USA, south africa na europe sababu pesa ya kufanya hivo tunayo.
tunafanya hivo ili kucheza na diversities katika kiwanda cha mziki.
na ndio maana kwa east africa, music videos zinazoongoza kuchezwa na international tv channel, ni zile za kutoka bongo.
tazama channel kama mtv base, box africa na trace tv.![]()
![]()
alikiba??? aslay??? harmonize???rayvanny???fidq??? etcapart from diamond hakuna muziki tz......ujinga wa kawaida tu.
shida mnaimba style moja wote...tena kiswahili.endeleeni kushoot video kwa counties... sisi na umasikini wetu tutaendelea ku shoot videos USA, south africa na europe sababu pesa ya kufanya hivo tunayo.
tunafanya hivo ili kucheza na diversities katika kiwanda cha mziki.
na ndio maana kwa east africa, music videos zinazoongoza kuchezwa na international tv channel, ni zile za kutoka bongo.
tazama channel kama mtv base, box africa na trace tv.![]()
![]()
Diamond ndio ameshikilia industry yenu,tena songs zote zake hit za 2018 ni collabos.alikiba??? aslay??? harmonize???rayvanny???fidq??? etc
wewe huijui tz vzr tanzania ushindani mkubwa sana wakimziki na huyo diamond anaushindani mkali sana na wasanii wengine so usifkiri analala usingizi huyo😀😀😀😀😀Diamond ndio ameshikilia industry yenu,tena songs zote zake hit za 2018 ni collabos.
Naona next year mtazikwa kwa kaburi la sahau....taste ya bongo inaisha
Yeah,wanakimbilia ten over ten kujimarket Kenya huku wakitutusi.....lol. mwengine anajiita Lulu diva ana mapaja shapeless na ugly na hajui hata kuimba ati alikuja ten over ten kujimarket. ......kuimba pia hajui
....apart from kiba and diamond hakuna mziki tz
Nakwambia hv Dubai airport ni nzuri kuliko jfkeneddy inter airport ya New York. ..
Jnia t3 ni better imetumia tecnology mpya na design yake bomba sana. ..izo Nyumba za nbo zilifaa miaka ya 1978 kabla sijazaliwa
Taste ya bongo inapungua kwa kasi sana...wewe huijui tz vzr tanzania ushindani mkubwa sana wakimziki na huyo diamond anaushindani mkali sana na wasanii wengine so usifkiri analala usingizi huyo😀😀😀😀😀
wewe huijui tz vzr tanzania ushindani mkubwa sana wakimziki na huyo diamond anaushindani mkali sana na wasanii wengine so usifkiri analala usingizi huyo😀😀😀😀😀
Ebu tuambiane ukweli bila ushabiki. Unataka kusema hili jengo liwarehouse ni modern?
View attachment 736202 View attachment 736203 View attachment 736204
Wakati unasema hili ni la 1978? Una kichaa wewe.
View attachment 736205 View attachment 736206 View attachment 736207
Taste ya bongo inapungua kwa kasi sana...
shida mnaimba style moja,watu wanaanza kuboeka
Kama ambavyo slums ziko Kenya, South Africa and NigeriaTanzanian music ni hoi tu.....hakuna lolote.Mi I don't care coz I listen to soft /hard rock,rhumba and Kenyan music.
zingine ni kelele tu......
Africa mziki uko Congo ,Nigeria na party south Africa home of kwaito.....wengine tunatapatapa tu
