Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vipi kuhusu bus stops.. maana ma3 zina drop wasee any how
Kama nimekuambia barabara bado inajengwa mbona sasa unaniuliza swali la kijinga hivyo. Sasa kama barabara zote ambazo zinafanana kama outering ziko na bus stops sasa kwa akili yako unaona outerring ndio itakosa? thika road, langata rd, ngong rd nk ni barabara zilijengwa hivi majuzi na zote ziko na bus stops. Tumieni akili saa zingine. Tuongelee mambo mengine lakini sio barabara coz the standard of roads in nairobi itachukuwa Dar miaka na mikaka kuzifikia
 
Tandale_11July06_026_(3233303465).jpg
tandale slum dar
 
Inafanana na ile cbd ya lagos yenye majengo matano kando kando ya barabara na huko nyuma ni slum

hii sio Lagos mzee hii ni dar es salaam.

na kama ubakubali CBD ya dar imesimaa kuliko yrlenu wewe ni mpevu kichwani.
 
Kama nimekuambia barabara bado inajengwa mbona sasa unaniuliza swali la kijinga hivyo. Sasa kama barabara zote ambazo zinafanana kama outering ziko na bus stops sasa kwa akili yako unaona outerring ndio itakosa? thika road, langata rd, ngong rd nk ni barabara zilijengwa hivi majuzi na zote ziko na bus stops. Tumieni akili saa zingine. Tuongelee mambo mengine lakini sio barabara coz the standard of roads in nairobi itachukuwa Dar miaka na mikaka kuzifikia
itachukua miaka Mingapi hata ukasahau kuitaja maana unaogopa.

kwasasa nai inaizidi dar upana wa Barbara si urefu,dar ina Barbara nyingi na ndefu zaidi.
 
leo siamini tanzania nchi ilionza maswala ya developments just 10 yrs ago ikiisumbua nchi ilianza mambo ya kimaendeleo 50yrs ago😀😀😀😀 na haina ilichokifanya
 
Back
Top Bottom