Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Tunasaidia omba omba wenu wasiokuwa na mbele wala nyumba katika barabara za miji yetuMbona huiibu swali unakwepa?, USA in deni lakini bado uchumi wake ni imara kuweza kuendelea kutoa misaada duniani, Kenya ina madeni js inasaidia nani wakati hata chakula ni shida?, usijilinganishe na tajiri, hata kama ana deni, lakini uchumi wake ni imara, sio sawa na Kenya