Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimekaa pale Ibis wiki mbili zote nimetembea na kuimaliza ile westlands yote, hadi ile mifereji inayotiririsha mavi yote nimeiona,
What I can say is Westlands is old, nyumba nyingi ni zile za wakoloni, and is better enough than many parts of Nairobi. but we don't have to consider it as CBD
Wacheni kuwa washamba nyie!



what's a CBD to you?
 
mutafukuza investors wote na bahat mbaya zaidi hamuna resources sijui mutaishi vp😀😀😀😀
Hatuna resources ila uchumi wetu ni kubwa kuliko nchi yenye resources. vipi kuhusu hiyo taswira?
 
Nchi ya madeni
Ni nchi gani haina deni hii dunia? Maybe it's only Tanzania. Even US, the biggest economy in the world has billions of dollars in debts. I know you didn't know that so you should thank me
 
Ni nchi gani haina deni hii dunia? Maybe it's only Tanzania. Even US, the biggest economy in the world has billions of dollars in debts. I know you didn't know that so you should thank me
USA unafananisha na kenya serious😀😀😀
we sina hakika kama uko sawa kiakili
 
6237030_marlin_jpegb72b098f2dc04c19799bdbce5d7de951


6237031_marlin2_jpegc7a34ad0cb3ecc39c3c24cea08b003b0


6237032_marlin3_jpeg309beec96fde6c939f9f21e5f041e979


6237033_marlin8_jpegaab4c4808e36b41fc6054d48e130147c
hzo ndio boats zenu😀😀😀
jitahidin iko siku mutafika hii level
29ED8267-6F03-438C-93ED-FAC52C340127.jpeg
 
USA unafananisha na kenya serious😀😀😀
we sina hakika kama uko sawa kiakili
Wewe ndio hauko sawa kiakili kwa kufikiri kwamba kenya ndo nchi ya pekee iliyo na deni duniani. At least sisi tumechukua madeni kujiendelza na kujiinua kiuchumi, nyinyi deni yenu mumefanyia nini na bado mmekwama kwenye lile tope la ldc?
 
Wewe ndio hauko sawa kiakili kwa kufikiri kwamba kenya ndo nchi ya pekee iliyo na deni duniani. At least sisi tumechukua madeni kujiendelza na kujiinua kiuchumi, nyinyi deni yenu mumefanyia nini na bado mmekwama kwenye lile tope la ldc?
US haiko level moja na kenya ndugu USA is ahead of kenya for more than 400yrs yani kujifananisha na USA hio toa uchafu kwenye ubongo wako
 
Wewe ndio hauko sawa kiakili kwa kufikiri kwamba kenya ndo nchi ya pekee iliyo na deni duniani. At least sisi tumechukua madeni kujiendelza na kujiinua kiuchumi, nyinyi deni yenu mumefanyia nini na bado mmekwama kwenye lile tope la ldc?


Tanzania Ile sehemu nishatembelea nimeona umaskini wa kiajabu. .....this year I want to tour the southern and western parts nione hata kama ziko atleast........hao wasee si LDC kimakosa.......
 
Back
Top Bottom