Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

writings are on the wall do you really need to be told? come on folk.
isaidieni serekali yenu haina pesa😀😀😀
C4B03832-FB66-493D-8AF4-B871BFFDBB9A.jpeg
 
uhehehe is lamu a city???😀😀😀😀
tutembee mara ngapi sasa na vile tunawajua nje ndani mulivo😛😛😛😛


Bila shaka kwa huo uhasidi mtakosa vipi kutujua?? hatuna muda wa kuwafahamu nyie vilaza.........keep it in mind that lamu is bigger than Dar X9.
 
Bila shaka kwa huo uhasidi mtakosa vipi kutujua?? hatuna muda wa kuwafahamu nyie vilaza.........keep it in mind that lamu is bigger than Dar X9.
uhahahha leo unahasira sana lamu now is a city😛😛😛😛 lamu 2018 wanapokea paved road since independence hahaha
 
Juzi wananchi wa Lamu walikuwa wanasherehekea barabara ya kwanza Lamu, tangu Kenya ipate Uhuru hawajawahi kuona barabara ya lami, kama una ushahidi kwamba Lamu kulikuwa na barabara hata kilometa moja tuwekee ushahidi, kumbuka Kenya is a failed state.


Waliosherehekea ni walamu vijijini nenda lamu mjini ujionee,kumbuka sisi ndio role model wenu.
 
Juzi wananchi wa Lamu walikuwa wanasherehekea barabara ya kwanza Lamu, tangu Kenya ipate Uhuru hawajawahi kuona barabara ya lami, kama una ushahidi kwamba Lamu kulikuwa na barabara hata kilometa moja tuwekee ushahidi, kumbuka Kenya is a failed state.


Waliosherehekea ni walamu vijijini tembea lamu mjini ujionee .kumbuka sisi ndio role model wenu.
 
Juzi wananchi wa Lamu walikuwa wanasherehekea barabara ya kwanza Lamu, tangu Kenya ipate Uhuru hawajawahi kuona barabara ya lami, kama una ushahidi kwamba Lamu kulikuwa na barabara hata kilometa moja tuwekee ushahidi, kumbuka Kenya is a failed state.


Waliosherehekea ni walamu vijijini tembea lamu mjini ujionee .kumbuka sisi ndio role model wenu.
 
Juzi wananchi wa Lamu walikuwa wanasherehekea barabara ya kwanza Lamu, tangu Kenya ipate Uhuru hawajawahi kuona barabara ya lami, kama una ushahidi kwamba Lamu kulikuwa na barabara hata kilometa moja tuwekee ushahidi, kumbuka Kenya is a failed state.


Waliosherehekea ni walamu vijijini tembea lamu mjini ujionee .kumbuka sisi ndio role model wenu.
 
Back
Top Bottom