Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahiyo wewe unataka watu wavunjiwe nyumba sababu tu hazijakaa kwa mistari??
Watu wenye mawazo kama wewe ndiyo waliosababisha tuwe hapa tulipo. Upimaji wa maeneo siyo lazima nyumba zikae kwa mistari, hapana....zinaweza kuwa kama mviringo au umbo lolote la msingi ni kuwa lazima ziwe na nafasi ya barabara, na njia za kuleta huduma kama umeme, maji,etc. Wewe kwa ufikiri wako kama kutakuwa na janga la moto utaweza kuokoa wananchi kutoka kwenye moto wakati kumebanana hivyo hakuna barabara au nafasi ya kupitisha gari za zimamoto?.....Utaweza kuleta ambulance kwenye makazi ya watu kuwahisha mwananchi mwenye tatizo hospitalini kwa haraka kuokoa maisha yake?.
Mpangilio ni muhimu kwenye kila kitu, mbona city centers zetu zote zimejengwa kwa mpangilio? Kwanini kote kwingine kujengwe bila mpangilio?
Naanza kuwa na wasiwasi kuwa mipango miji yetu iliharibika kwa sababu kulikuwa na watu kama wewe kwenye wizara ya ardhi ambao hawakufanya kazi zao kwa weledi.
 
Watu wenye mawazo kama wewe ndiyo waliosababisha tuwe hapa tulipo. Upimaji wa maeneo siyo lazima nyumba zikae kwa mistari, hapana....zinaweza kuwa kama mviringo au umbo lolote la msingi ni kuwa lazima ziwe na nafasi ya barabara, na njia za kuleta huduma kama umeme, maji,etc. Wewe kwa ufikiri wako kama kutakuwa na janga la moto utaweza kuokoa wananchi kutoka kwenye moto wakati kumebanana hivyo hakuna barabara au nafasi ya kupitisha gari za zimamoto?.....Utaweza kuleta ambulance kwenye makazi ya watu kuwahisha mwananchi mwenye tatizo hospitalini kwa haraka kuokoa maisha yake?.
Mpangilio ni muhimu kwenye kila kitu, mbona city centers zetu zote zimejengwa kwa mpangilio? Kwanini kote kwingine kujengwe bila mpangilio?
Naanza kuwa na wasiwasi kuwa mipango miji yetu iliharibika kwa sababu kulikuwa na watu kama wewe kwenye wizara ya ardhi ambao hawakufanya kazi zao kwa weledi.
Ndio maana nikakuuliza unadhani kutovunja hizo nyumba watu hawana akili au unafhani sababu wakazi walipiga kura kama ulivyosema??

Hujajibu unalialia.
 
Watu wenye mawazo kama wewe ndiyo waliosababisha tuwe hapa tulipo. Upimaji wa maeneo siyo lazima nyumba zikae kwa mistari, hapana....zinaweza kuwa kama mviringo au umbo lolote la msingi ni kuwa lazima ziwe na nafasi ya barabara, na njia za kuleta huduma kama umeme, maji,etc. Wewe kwa ufikiri wako kama kutakuwa na janga la moto utaweza kuokoa wananchi kutoka kwenye moto wakati kumebanana hivyo hakuna barabara au nafasi ya kupitisha gari za zimamoto?.....Utaweza kuleta ambulance kwenye makazi ya watu kuwahisha mwananchi mwenye tatizo hospitalini kwa haraka kuokoa maisha yake?.
Mpangilio ni muhimu kwenye kila kitu, mbona city centers zetu zote zimejengwa kwa mpangilio? Kwanini kote kwingine kujengwe bila mpangilio?
Naanza kuwa na wasiwasi kuwa mipango miji yetu iliharibika kwa sababu kulikuwa na watu kama wewe kwenye wizara ya ardhi ambao hawakufanya kazi zao kwa weledi.

Okay wewe ndo afisa mipango mji ..tufanyeje sasa hiv ? Kuweka mambo sawa
 
70km from arusha
Kilimanjaro_1.jpg

Kilimanjaro-International-Airport-copy.jpg
lrg_kenya057kilimanjaroletiste.jpg
70269064.jpg
Kipo katikati ya Arusha na Kilimanjaro so ni kama 40km from each city. Sio 70km kutoka Arusha.
 
Sisi unemployment ipo percentage ngapi? Kama ukishindwa kupata au wakikunyima kukupa data hao NBS, fanya hesabu rahisi kidogo 1. Angalia wangapi katika familia yako wanafanya kazi ya kuajiriwa 2. Angalia inapotokea ajali ya barabarani au mwizi kauawa kwenye miji yetu ni watu wangapi wanakuwa wamesimama na kushangaa shangaa hayo matukio 3. Angalia miji yetu ilivyojaa watu mitaani wakipiga stories za vijiweni. 4 Tafuta takwimu ya uzalishaji wa viwandani na mapato yanayopatikana halafu fananisha na Kenya 5 Pita mitaani angalia hali ya maisha na nyumba za wananchi wetu.
UKIMALIZA KUFANYA YOTE HAYO UTAWEZA KUJUA KAMA TUNA TATIZO LA AJIRA AU HAPANA!
kwanza karibu naona umelivaa jukwa kichwa kichwa kwanza hili sio jukwaa la siasa, sio kila penye tundu kuna njia
 
Watu wenye mawazo kama wewe ndiyo waliosababisha tuwe hapa tulipo. Upimaji wa maeneo siyo lazima nyumba zikae kwa mistari, hapana....zinaweza kuwa kama mviringo au umbo lolote la msingi ni kuwa lazima ziwe na nafasi ya barabara, na njia za kuleta huduma kama umeme, maji,etc. Wewe kwa ufikiri wako kama kutakuwa na janga la moto utaweza kuokoa wananchi kutoka kwenye moto wakati kumebanana hivyo hakuna barabara au nafasi ya kupitisha gari za zimamoto?.....Utaweza kuleta ambulance kwenye makazi ya watu kuwahisha mwananchi mwenye tatizo hospitalini kwa haraka kuokoa maisha yake?.
Mpangilio ni muhimu kwenye kila kitu, mbona city centers zetu zote zimejengwa kwa mpangilio? Kwanini kote kwingine kujengwe bila mpangilio?
Naanza kuwa na wasiwasi kuwa mipango miji yetu iliharibika kwa sababu kulikuwa na watu kama wewe kwenye wizara ya ardhi ambao hawakufanya kazi zao kwa weledi.
anzia hapa halafu tukae tuongee sasa
B2EF2E0C-2582-4E07-B787-E44C8F7CED75.jpeg
 
Ndio maana nikakuuliza unadhani kutovunja hizo nyumba watu hawana akili au unafhani sababu wakazi walipiga kura kama ulivyosema??

Hujajibu unalialia.
Una elimu ya darasa la ngapi? Silii ila naona kama najitahidi kukuelewesha lakini huelewi ndiyo maana nataka kujua elimu yako.
 
i have no time to give an answer to this garbage. please take it to another page where political related issues are discussed. this is not the right place for you.
Huna muda wa kujibu hilo kwanza sikukuomba ujibu, pili kwa sababu akili yako ipo static.....hivyo sishangai......Kwanini basi una-contribute humu JF???
 
You are more than garbage yourself. Can't you agree to disagree? You are worthless thrash.
Huna muda wa kujibu hilo kwanza sikukuomba ujibu, pili kwa sababu akili yako ipo static.....hivyo sishangai......Kwanini basi una-contribute humu JF???
panicking won't change the fact that what you're trying to present is purely political garbage.

unfortunately chadema or ccm political agendas are not entertained here. please take your garbage to jukwaa la siasa.
 
Back
Top Bottom