Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tuliambiwa hivyo kuhusu Bagamoyo hadi wa Leo tunaingoja tu. Mambo ya Tanzania Mimi huamini nikiyaona kwa macho, midomo kubwa mlibarikiwa bila uhaba...Hii habari yenu hamuwezi mkiapost pale jukwa lenyu sababu mtapondwa na kuulizwa maswali msioweza kujibu wenzenu. Furahia Kenyan Forum hapa ni mahala pa Watanzania kutoroka ukweli na kuwarushia wakenya hasira ila shida zinabaki huko huko Danganyika(LDC).
Mkuu unachukuliaje Terminal mpya, kubwa na ya Kisasa ya JNIA? Natumaini umeona picha zake, je nini maoni yako?
 
Hahahaha ati 2019 phase I ya SGR imekamilika ilhali hata renders hamjamalizana nazo mwaka unaelekea katikati, kwani mnatengeneza na uchawi wa albinos? Tulia buda na uwe mwepesi pande ya Hasira....SGR yenyu inaanza rasmi 2025 lakini kwa sasa ni mbembwe na mihemko ya kuwadanganya wadanganyika na kuwanunua wana Chadema. Hahahaha povu ruksa na huu mchezo hauhitaji hasira babaa so unajua tunataniana na Pia mnajua Kenya ndio power house Hapa EAC kitu ambacho mnatuweza ni mdomo bakuli so hata unaona vile mmejazana hapa hata kuliko wakenya.
Reli haiwez jengwa miaka 9 acha story Za ngugi wa thiong'o ...right on next yr,Mark my word
 
Uahaha gari moshi 😀😀😀😀
Subiri mwakani ushuhudie phase 1 the modern electric train in africa ndio maana hatutaki hii thread ife tunatana iwe hai mpaka tumalizane vzr
wacha nami pia nikupe hii GIF ya Idi Amin dada ilionifurahisha sana...unanichekesha na matamshi yako haya ya jokes😀😀😀. tz railway is just a white elephant...nimekwambia mizigo ya rwanda hata ya nairobi tu inaizidi😀..afadhali gari moshi inayopeleka mizigo Uganda kuliko tembo mweupe
lol_idi_amin.gif
 
Cool down dude, huu mchezo mbona hauhitaji hasira?. Kwani ukubwa wa airport unatokana na nini?, kama ni capacity ya abiria, ukubwa wa eneo la jengo la abiria, uwezo wa kuhudumia ndege nyingi kwa wakati mmoja, idadi ya passenger bridges, parking kubwa ya ndege, parking kubwa ya gari, zote hizo JNIA is far ahead of JKIA.
Ingekuwa bora kama ungeleta source kuthibitisha madai yako. Until that happens, hizi zitabaki tu story za vijiweni za kutuliza roho
 
GDP ingesaidia kuimprove kibera na kuacha kutegemea kula githeri na unga wa kupimiwa supermarket na kupunguza muggers kule CBD ingekuwa afadhali lakin km GDP imepikwa na kina uhuruto kupata loan ya mchina imekula kwenu

kisingizio ya losers ni sawa na yako................tunakuja charity work in mwanza again .......keep tight.Omba omba wote wa Tanzania bado wakaribishwa katika streets zetu na hustlers wale pia gikombaa wakaribishwa......We are the big brother in East Africa and we don't need petty fights with minions like Tanzania
 
Back
Top Bottom