Neck of the Wood
Member
- Mar 15, 2018
- 43
- 49
GDP ya kupikwa kwenye mafiga mpaka ikaungua
Lazima mchanganyikiwe safari hii, tumetumia $340M kujenga huo uwanja, ninyi mlikua mnahitaji $600M kujenga greenfield terminal with capacity of 20M passengers, lakini serikali yenu imefilisika mkashindwa kujenga, sasa subirini tuwape maumivu ya moyo kidogo(Angina pectoris)biggest with 2 million passengers....hahaha.Port Reitz road ya mombasa imekamilika sasa Moi international airport ya Mombasa pia inapanuliwa sawasawa.....

americans wannabes ndio maana wanaume wa kikunya mnaolewa sana marekaniJkia is like Harvard
Jnia is like UDOM...
bag of excuses.....hata wajinga darasani husema werevu walipata leakage hahahaGDP ya kupikwa kwenye mafiga mpaka ikaungua
wazungu wagani.....Lol.Wewe unajua a first year in a Kenyan university can lecture PhD students in TanzaniaTofauti hapa Innovation Kenya Wazungu, Tanzania Wabongo..
Maybe. ..😀😀😀😀120 billion bruh...tz 79 billion😀😀😀😀😀😀
GDP ingesaidia kuimprove kibera na kuacha kutegemea kula githeri na unga wa kupimiwa supermarket na kupunguza muggers kule CBD ingekuwa afadhali lakin km GDP imepikwa na kina uhuruto kupata loan ya mchina imekula kwenubag of excuses.....hata wajinga darasani husema werevu walipata leakage hahaha
Usiwakimbize bhana polepoleGDP ingesaidia kuimprove kibera na kuacha kutegemea kula githeri na unga wa kupimiwa supermarket na kupunguza muggers kule CBD ingekuwa afadhali lakin km GDP imepikwa na kina uhuruto kupata loan ya mchina imekula kwenu
kenya hakuna university ni vyuo vya mkabala kufundisha hotel management na hotel tourism ndo mnazo maana kila kitu kiko managed na wachina kuanzia barabara mpaka reli nyie mnachojua ni kuishi kwenye mabweni yenu ambayo hayapigwi rangiwazungu wagani.....Lol.Wewe unajua a first year in a Kenyan university can lecture PhD students in Tanzania
Pwahahaha Kenya is nothing my friend, Asilimia 95 ya Innovation yote inafanywa na makampuni au Wazungu wanaoishi Kenyawazungu wagani.....Lol.Wewe unajua a first year in a Kenyan university can lecture PhD students in Tanzania


Bongo ni Tofauti, Innovation inafanywa na Vyuo vikuu, na vyuo vya Ufundi ikiwemo veta na vingine, Hata ukiangalia viwanda vidogo na vyakati Tz tunavyotumia ni 97% Tanzania made kupitia SIDO, Ungekua unahudhuria International trade fair ya SABA SABA ndio ungejua Tz ni hatari..wanaishi kwenye utopia walikilishwa propaganda kuwa wao ndo kila kitu afrika mashariki kumbe empty setsUsiwakimbize bhana polepole
Vipi mbona hutaki kuzungumzia hiyo the most advanced, and biggest airport in EA, au picha hujaziona?wazungu wagani.....Lol.Wewe unajua a first year in a Kenyan university can lecture PhD students in Tanzania

Huwez compare kasarani na uwanja wa taifa Dsmwanashangilia kuwa na rest room ndani ya airport hahaha......Jkia iko ligi yake my frens
View attachment 721258
anazuga anajifanya kafunga vioo😀😀😀😀😀😀Vipi mbona hutaki kuzungumzia hiyo the most advanced, and biggest airport in EA, au picha hujaziona?![]()
![]()
mpe hio kaka akapumzike vzr wasubiri modern stadium in africa inayojengwa dodoma hio ndio hatarii ni motoooo😀😀😀😀Huwez compare kasarani na uwanja wa taifa Dsm
huwez compare terminal 3 jnia na izo godown
Trending in Tz is different from trending in the world girlfriend.hiyo sio Airport ni museum.![]()
![]()
dar es salaam international airport is now the talk of the region. photos are trending like nobody's business.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
maneno yaunyonge yanakutoka mpaka huruma leo umelia sana naona😀😀😀😀😀Trending in Tz is different from trending in the world girlfriend.
https://www.nation.co.ke/news/polit...peaceful-poll/1064-1893004-j93e9vz/index.htmlTrending in Tz is different from trending in the world girlfriend.

Tuliambiwa hivyo kuhusu Bagamoyo hadi wa Leo tunaingoja tu. Mambo ya Tanzania Mimi huamini nikiyaona kwa macho, midomo kubwa mlibarikiwa bila uhaba...Hii habari yenu hamuwezi mkiapost pale jukwa lenyu sababu mtapondwa na kuulizwa maswali msioweza kujibu wenzenu. Furahia Kenyan Forum hapa ni mahala pa Watanzania kutoroka ukweli na kuwarushia wakenya hasira ila shida zinabaki huko huko Danganyika(LDC).Ngoja mwezi juni hapo zote zinaingia