ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Aise ni mbaya sana yani sana😀😀😀Nairobi hali ni mbayaaaaa.
Walitegemea humu ni kama nairaland
Aise ni mbaya sana yani sana😀😀😀Nairobi hali ni mbayaaaaa.
Cool down dude, huu mchezo mbona hauhitaji hasira?. Kwani ukubwa wa airport unatokana na nini?, kama ni capacity ya abiria, ukubwa wa eneo la jengo la abiria, uwezo wa kuhudumia ndege nyingi kwa wakati mmoja, idadi ya passenger bridges, parking kubwa ya ndege, parking kubwa ya gari, zote hizo JNIA is far ahead of JKIA.Where is it written that it is the biggest in east africa? ama itbis the biggst kwa akili zenu tu? Doing some minor refurbishments on your old airport doesn't give it any bragging rights over JKIA. JKIA is, and will always be the biggest airport this part of the world. Lanes please



Waambie wakuonesha renders za pinnacle na monatave😀😀😀😀😀Uwaga atutoi render sana uwa tunaonyesha kitu kina progress
Tofauti hapa Innovation Kenya Wazungu, Tanzania Wabongotunaenda nanyi unyayo kwa unyayo...tunawapumulia makalioni.
View attachment 721195

..wageni tushawazoea.....utatulia tu....kumbuka GDP ya Nairobi na Tanzania ni sameHiyo ni dar tu bado atujaenda mikoa maarufu kama nyinyi mmeingiza mpaka Kenya yote kwa dar.
Juzi wameongea kwenye mkutano wa biashara watanzania wazawa wanaingia wengine watauza umeme tanesco zaidi ya 300 mwSasa wasibiri expansion ya dar port imalizike 2020 humu tutakimbiana 😀😀😀😀😀
Hapohapo 2019 tunapokea first phase ya the best and modern electric train in africa alaf 2020 tunapokea second phase to dom
2020 hio hio tunapokea the biggest dam in EA ambayo sasa ujenzi umeshaanza rufiji ambayo utazalisha 2100MW
Mwaka huu mwez wa 7 tunapokea ndege nne kwa mpigo kwa ajili ya Air tanzania
Mwaka huu tunapokea kinyerezi 2 ambayo itazalisha 240MW na huku kinyerezi 3 ujenzi umeshaanza
2020 tunapokea meli ya kwanza bagamoyo port ambayo phase 1 itakua imeshakamilika
2019 tunapokea meli kubwa kabisa bandari ya mtwara amabyo iko under expansion
Etc zingine ongezeeni😀😀😀😀😀
Wageni angalia lini nimeanza fuatilia hii battle pole sana hadi umesahau kwaajiri ya povuwageni tushawazoea.....utatulia tu....kumbuka GDP ya Nairobi na Tanzania ni same
Vipi kuhusu hizo picha zw the most modern and biggest airport hujaziona?, mbona husemi neno lolote?wageni tushawazoea.....utatulia tu....kumbuka GDP ya Nairobi na Tanzania ni same

Sio tena museum kama ya jk
Hiyo miraha sasa inakuchanganya jk na HarvJkia is like Harvard
Jnia is like UDOM...
biggest with 2 million passengers....hahaha.Port Reitz road ya mombasa imekamilika sasa Moi international airport ya Mombasa pia inapanuliwa sawasawa.....Vipi kuhusu hizo picha zw the most modern and biggest airport hujaziona?, mbona husemi neno lolote?![]()
![]()
![]()
![]()
Where is it written that it is the biggest in east africa? ama itbis the biggst kwa akili zenu tu? Doing some minor refurbishments on your old airport doesn't give it any bragging rights over JKIA. JKIA is, and will always be the biggest airport this part of the world. Lanes please
Umesahau fimbo ambayo Uhuru ata kaa aisahau.. EAST AFRICA CRUDE OIL PIPELINE. Hii ili waonyesha Kenya kwamba Mswahili ndiyo bingwa wa fitina. Walijua kua hawajuiSasa wasibiri expansion ya dar port imalizike 2020 humu tutakimbiana 😀😀😀😀😀
Hapohapo 2019 tunapokea first phase ya the best and modern electric train in africa alaf 2020 tunapokea second phase to dom
2020 hio hio tunapokea the biggest dam in EA ambayo sasa ujenzi umeshaanza rufiji ambayo utazalisha 2100MW
Mwaka huu mwez wa 7 tunapokea ndege nne kwa mpigo kwa ajili ya Air tanzania
Mwaka huu tunapokea kinyerezi 2 ambayo itazalisha 240MW na huku kinyerezi 3 ujenzi umeshaanza
2020 tunapokea meli ya kwanza bagamoyo port ambayo phase 1 itakua imeshakamilika
2019 tunapokea meli kubwa kabisa bandari ya mtwara amabyo iko under expansion
Etc zingine ongezeeni😀😀😀😀😀
wakionyesha renders na plots watutagWaambie wakuonesha renders za pinnacle na monatave😀😀😀😀😀