ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Tanzania 54.3mpia wanazaana sana..nchi maskini ukiona ivo
Kenya 50m
So unaona tofaut gani hapo????
Tanzania 54.3mpia wanazaana sana..nchi maskini ukiona ivo
Kizuri cha jiuza, Tz hamna kizuri ukija kwa makazi... Nikisema makazi simaanishi nyumba moja moja bali eneo fulani...Ulitaka kuona apartments nzuri ??wakat ubongo wko ulishaucommand usione macho yako yatafanya nn
Mjue kwamba mnapaswa kuwa humble ili jamii iwakubali, majirani zenu wote wanawakimbia kwa sababu ya tabia zenu za kijinga za kujifanya mnajua kila kitu, kupenda sifa za kijinga wakati hamna kitu zaidi ya njaa, ukabila, slums, police killings, tribalism, terrorism na unemployment.."work in silence, let your success to be your noise"Unafwata za jirani wako sana hadi unasahau shida zenyu...
Poor Tz
Kenya wako 50m kakaUmewahi calculate ukubwa wa nchi yenu vs pop compare tz then useme wap huzaa kama Panya ,ikiwa nchi yenu ni ndogo kwa Tz lakin mko zaidi ya million 45 ninyi ndio huzaa zaidi
Mayb nikusaidie hapo ...kwann maskini wengi wa Nairobi huishi kwenye nyumba za tope? Uliwah ona nyumba ya tope Dar? Kama nbo cement ghali uko ushago wanaishijeKizuri cha jiuza, Tz hamna kizuri ukija kwa makazi... Nikisema makazi simaanishi nyumba moja moja bali eneo fulani...
With poor security, hunger,corruption,poor healthcare..
We still manage to live longer than them, make more money than them, Export more than them, sport more than them, Make kenya abigger brand than them.....
WHO BEWITCHED TANZANIA?????
Icho unakunywa whisky gani mkuu nanunua na mbuzi upande....sasa Yule nyumbu alikua anaongea nn wakat nchi yao ndogo sana kuliko yetuKenya wako 50m kaka
Tanzania ina 54.3 na juzi nimeleta link hapa
Hebu tafuta mahala mulipo😱😱
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hii ni suburb
![]()
umesahau kwamba hapo kenya single mothers ni wengi sana.wewe mwenyewe nahisi umelelewa na single mother. you don't know who your real father ispia wanazaana sana..nchi maskini ukiona ivo

Utakua hauelewi kama hicho kitambi cha AvatarHii ni suburb
![]()
Nani ametukimbia sasa? Kusign agreement sio kila kitu, till now Rwanda and UG uses mombasa Port.. when you take the business from Kenya, we can seat down and talk. Haujui nyangau vizuri..Mjue kwamba mnapaswa kuwa humble ili jamii iwakubali, majirani zenu wote wanawakimbia kwa sababu ya tabia zenu za kijinga za kujifanya mnajua kila kitu, kupenda sifa za kijinga wakati hamna kitu zaidi ya njaa, ukabila, slums, police killings, tribalism, terrorism na unemployment.."work in silence, let your success to be your noise"
eeh eeh 30 years??This sums up the reason why this thread is worthless. Kenya is being forced to a competition with Tanzania, a country that requires at least half a century to be where Kenya was 30 years ago.
Alafu mbona Dar ni vigumu sana kutofautisha slums na middle income or high income areas? Dar es salaam mitaa zote zinafanana shilinginkwa ya pili halafu hazina mpangilio jinsi hiyo picha unavyodhihirisha. Ukiingia google earth utaona nyumba za mabati zilizotapakaa kila mahali bila mpangilio wowote. Ndio maana siku zote tunaita huu mji wenu slum city
Tembea Kenya... Maneno haitakusaidia.. watu watabaka lachini wanamaisha poa vijijini kizidi Nairobi..Mayb nikusaidie hapo ...kwann maskini wengi wa Nairobi huishi kwenye nyumba za tope? Uliwah ona nyumba ya tope Dar? Kama nbo cement ghali uko ushago wanaishije
Izo pesa bora nitunzeTembea Kenya... Maneno haitakusaidia.. watu watabaka lachini wanamaisha poa vijijini kizidi Nairobi..
Habari za kweli hizi maana kuna siku zililetwa picha za maisha ya watu wa turkana ni hatari aiseeTembea Kenya... Maneno haitakusaidia.. watu watabaka lachini wanamaisha poa vijijini kizidi Nairobi..
eeh eeh 30 years??
yaani 1988
Kenya LDC
Tanzania LDC
kwa kujipa shughuli tuu, hamjambo aisee1988
Kenya - Developing Country
Tanzania - LLDC ama VLDC (least least developed country ama very least developed country).
A country is classified among the Least Developed Countries if it meets three criteria:[2][3]
Yaani a least developed country is a country whose most suitable definition of status ni maskini hohe hahe. 95 % of everybody is just poor
- Poverty – adjustable criterion based on GNI per capita averaged over three years. As of 2018 a country must have GNI per capita less than US $1,025 to be included on the list, and over $1,230 to graduate from it.
- Human resource weakness (based on indicators of nutrition, health, education and adult literacy).
- Economic vulnerability (based on instability of agricultural production, instability of exports of goods and services, economic importance of non-traditional activities, merchandise export concentration, handicap of economic smallness, and the percentage of population displaced by natural disasters).