El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
hahaha... ichoboy mungu anakuona. sio kwa kuwafanyia hivi majirani. hii ni dharau ya karne.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 714426
tupatie list ya best slums
hahaha... ichoboy mungu anakuona. sio kwa kuwafanyia hivi majirani. hii ni dharau ya karne.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 714426
hadi kichefuchefu ngoja mvua inyeshe huko ni noma!!Nairobi bila make upView attachment 714236 View attachment 714239
Unajua hawa hua wanafkiri mzungu anaangalia LDC hzo ni ranks tu kinachokuja kwenye swala la maendeleo na wananchi wanakwepa hawataki kuskia so kutakua na maana gani kua MLDC wakat huna chakula na wananchi wanaishi kwenye worse slums in the world?? Kuna maana gani kua kwenye MLDC wakat nchi haina security huku unemployment ikiwa kubwa karibuni africa nzima na bado below poverty line rank ya kenya ni 46% hahahha2013 mlikua ldc ,hata Tz ikiwa D.C. kesho hatuwez cheka Burundi au Uganda
Nenda google earth ukipata neno slum kwa dar unitag am waiting😀😀😀😀😀tupatie list ya best slums
Hebu tafuta mahala mulipo😱😱
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Unajua hawa hua wanafkiri mzungu anaangalia LDC hzo ni ranks tu kinachokuja kwenye swala la maendeleo na wananchi wanakwepa hawataki kuskia so kutakua na maana gani kua MLDC wakat huna chakula na wananchi wanaishi kwenye worse slums in the world?? Kuna maana gani kua kwenye MLDC wakat nchi haina security huku unemployment ikiwa kubwa karibuni africa nzima na bado below poverty line rank ya kenya ni 46% hahahha
Award gani wakat mob hamjiwezKenya deserves an award.. .weh.......majirani zetu hoi bin hoi.
Lol....south Africa na Botswana pia.....
Botswana Ni ulaya ujue Ile, nikipata masters nahamia mbona kule friends zangu wako kuleLol....south Africa na Botswana pia.....
asante kwa kupromote citizenUSALAMA wa mashakaView attachment 713807
We jamaa acha uzushi nguvu kazi Tz ni watu million ngap unajua?You should know 70% of Tanzanians survive on below 1.25 dollars a day.
thanks for pomoting citizen
Heheh hajui kuna wazee kuna watoto kuna wanafunzi😀😀😀😀😀We jamaa acha uzushi nguvu kazi Tz ni watu million ngap unajua?
why is your life expectancy lower than kenyas?We are not interested with Kenya's economy, what we are concentrating is to improve lives of our people, they must have food, water, good public hospitals, security, unity, shelter and employment.
66.7 nyie ngap hata ivyo mnazungumziaje issue za ajal ambazo huondoa watu sana....achilia mbali magonjwa ya kuambikiza na yale ya life styewhy is your life expectancy lower than kenyas?
With poor security, hunger,corruption,poor healthcare..why is your life expectancy lower than kenyas?