KichwaNgumu254
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 1,284
- 1,153
sawa sawa mkuu ila matokeo yapo njiani.....
dunia yazunguruka.... mtajuta
Tujute kwanini? Tumekula mbuzi ya nani?
sawa sawa mkuu ila matokeo yapo njiani.....
dunia yazunguruka.... mtajuta
I was wondering too😀😀😀Tujute kwanini? Tumekula mbuzi ya nani?
Izo shule hamuwez ata lipia karo

...wanaopeleka watoto wao shule hizi ni mbuzi na ngombe au?😀😀😀😀Izo shule nyumbu hamuwez ata lipia karo...
Btw napenda mnavyojifunua na vitu vya kijinga kama shule za pri na sec kisa ati ni Cambridge curriculums wanatumia
watoto wa internationa schools hawa...pesa wanazotumia katika lunch ya siku moja pale shuleni inatosha kukulisha wewe miaka mitano😀😀😀😀😀Izo shule nyumbu hamuwez ata lipia karo...
Btw napenda mnavyojifunua na vitu vya kijinga kama shule za pri na sec kisa ati ni Cambridge curriculums wanatumia
Wewe vile unajivunia hizo orofa tatu ningapi unaweza jenga??? Kweli nyani haoni...Izo shule nyumbu hamuwez ata lipia karo...
Btw napenda mnavyojifunua na vitu vya kijinga kama shule za pri na sec kisa ati ni Cambridge curriculums wanatumia
😀😀😀😀tazama nyuso za nyumbu wanaosoma international schools...mtoto mmoja analipiwa insurancee inayotosha kukulipia rent hapo kariakorr kwa miaka 5Nyumbu
Ada ni pesa ngapi maana mm navyofaham apo wakimaliza hua wanasogea UK kusoma elimu ya juu sio apo meru university /Garrisa universitywatoto wa internationa schools hawa...pesa wanazotumia katika lunch ya siku moja pale shuleni inatosha kukulisha wewe miaka mitano😀😀😀😀😀
![]()
![]()
![]()
Mnatamba hadi na vitu minor kabisa..Wewe vile unajivunia hizo orofa tatu ningapi unaweza jenga??? Kweli nyani haoni...
museam place....... since mkoloni ....
wakenya ni poor sana hamnamaisha yenu ni kucopy tu culture za watu.... nyumba nyingi zenu ni old schoool
Haha bro unadanganywa na hayo majani? Btw inaweza pia kulipia pango lako apo korogocho miaka 10 period😀😀😀😀tazama nyuso za nyumbu wanaosoma international schools...mtoto mmoja analipiwa insurancee inayotosha kukulipia rent hapo kariakorr kwa miaka 5
![]()
yap thats true...ila ni wtoto wa kikenya....sio mbuzi na ng'ombe unavo assumeAda ni pesa ngapi maana mm navyofaham apo wakimaliza hua wanasogea UK kusoma elimu ya juu sio apo meru university /Garrisa university
yap inaweza ikanlipia nami rent pia ila kwa mwaka moja tu😀😀😀...GDP per capita😀😀😀😀si unaelewa tu jinsi mlivyo LDCHaha bro unadanganywa na hayo majani? Btw inaweza pia kulipia pango lako apo korogocho miaka 10 period
Izo per capital haziko sahihi nadhan kenya ni $ 145nafurahi sana unapopendezwa😀😀😀 data zaidi bro
Kenya GDP per capita $1455
TZ $860
What you forget in Africa top 100 university kenya has almost 7.. Top ten we have one, we don't really have to fly to Europe... As for the shithole LDC ni machozitu...Mnatamba hadi na vitu minor kabisa...Nyang'au Au ulisoma chini ya mti wewe
rent yako ya miezi ngapi susan?😀😀😀Izo per capital haziko sahihi nadhan kenya ni $ 145
Kumbe korogocho nyumba ghali nako sioyap inaweza ikanlipia nami rent pia ila kwa mwaka moja tu😀😀😀...GDP per capita😀😀😀😀si unaelewa tu jinsi mlivyo LDC

nyumba ya tope siunainunua kabisa, reff maneno yako ya mwanzo