Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
ujue wewe ni kama konokono wa mtaani na akili ya konokono ni utaratibu wa mwenendo ila udhaifu wake ni mkubwa sana ni chumvi....hvyo wewe ni miongoni mwa binadamu ambao huwa wanaamini binadamu wa kwanza alikuwa ni sokwe kulingana na vitabu pia na any source zilizo mitandaoni........hey atleast I am bringing data to back my claims...nyie mna data zipi??? kupiga domo ni kama tu porojo...leta list inayosema kuwa tz inaipiku kenya katika vita...tuanzie hapo
ila swali ni moja tu ni vita gani vya taifa kama taifa mlivyowahi kupambana kama taifa kwa kuiokoa nchi yenu tukiachana na ushirika wa majeshi..?..
najua hauwezi kujibu ila lete link ili tuendelee kukuona ni jinsi gani ulivyo mbumbumbu