Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

28238899_887347851437940_1283156928925184616_o.jpg
 
Kichwangumu since day1 hua unaongea kama umeshikiwa kichwa na mtu...there's nothing you know hadi una generalize vitu vya kijinga namna iyo

Because I get impatient with laggards like you wenye hawataki kujua ni kwanini kuna curriculum tofauti kwa international schools za Nairobi au hata huko kwenu. Au nilazima upinge kila kitu?
 
Because I get impatient with laggards like you wenye hawataki kujua ni kwanini kuna curriculum tofauti kwa international schools za Nairobi au hata huko kwenu. Au nilazima upinge kila kitu?
Nilipinga pumba zako ulizotema...Haiwezekani ulichoongea nikakiafiki...Btw sina waswas na mtaala kabisa..mbona Ata uku Tz zipo na hatuna maneno nazo cause ni mambo ya kawaida
 
Top officials wa Yepi Merkiz na Masanja Kadogosa wapo Kampala, wamepiga presentation ya maana leo mchana. zile maneno za grade 3, sijui double stack zote zime kua cleared mbele ya manyang'au walio eneza uzushi kwa waganda. Minyang'au kidogo itoke ukumbini
 
Back
Top Bottom