Nimekuambia acha ujinga, hukusikia kwamba huyo diwani aliyecharazwa mapanga tayari watu kumi wamekatwa na sababu ya kuuliwa inatokana na kulipiza kisasi baada ya huyo diwani kumtuhumu kuhusika na kifo cha ndugu yao kutokana na ugomvi wa mashamba?, sasa unataka serikali ihusike kumzika kila mtanzania?.
Wewe acha kukimbia ukweli, ninyi hata kulaani tu hamlaani mpo kimya kama wanyama, watu wanauliwa na polisi wenu kila siku, ninyi mnaweka mmikia matakoni, polisi wenu wanaongoza kwa kuuwa raia hapa Afrika, kwasababu raia wenyewe wanachukiana, akiuliwa mkikuyu, Jaluo anafurahia, akiuliwa Jaluo, mkikuyu anachekelea, bure kabisa failed state.