Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

61_b5df0.jpg


pwahaha lusematic ndio hiyo employment opportunity
 
I know all the sad and painful stories from Tanzania......it's only that God gave me a brain never to post them here everyday.Like the way ichoboy and kadoda laughs at any dead Kenyan........hii dunia hata iwe USA UK bad news must be there ......some expect that once you are out of LDC status all challenges cease to exist


Hehehe,mumewashika hawa vilaza makangari,,,leo hawataonekana hapa wamekunja mikia wamejificha mvunguni mwa vitanda vya mamazao.
 
But but but slums, acha akina ichioboy waamke. Btw I challenge them wapost picha kama hizi

kila mtu humu anapost mazuri ya nyumbani kwao tu,but tumewa charenge muweke hizo slums za tz.imekuwa bla bla bla na kwenda kutafuta za nigeria kutuletea.

dunia nzima inajua dar hakuna slums hata mkenya pia anajua.
 
Hizj gazeti zao ni Analog sana,mbona hazipendezi macho,bure kabisa
Mnataka kugeuza JF kuwa Kilimani mums and Dads?, acheni kuweka magazeti ya kijinga hapa, kama hoja za maana zimewashinda, mrudi kwenye forums zenu mkaanze kutukanana.
 
I don't think the opposition leader was hacked to death 10 years ago.....mmmhh.Why do you like denying any obvious news about Tanzania.....smh.

Then R.I.P to the girl who was shot while going to drop her CV
Mambo haya kwa Tz hutokea nadra sanaa tena kwa bahati mbaya tu. Wazee wa maumau mnauana sanaa hakuna asiyejua.
 
Back
Top Bottom