swali zuri sana..... umemkamata,,,,Maneno ya mkosaji.. what about Rail stations. The number you guys have posted Mombasa and Nairobi terminus is infinity
kabisaHuu uzi angalau umewafundisha Kiswahili hawa ndugu. Ukisoma maoni yao mwanzoni mwa uzi na sasa utaona kuna mabadiliko chanya kidogo ktk utumizi wa lugha.
vibanda ni Dar. ingia Google earth uone vile vibanda vimetapakaa kila mahali
sawa sawa Mzee wa google earth endelea kujifariji kumbe google earth yaonyesha vibanda vilivyotapakaa.... basi usijali tutafugia kuku
nyie hamna kitu mnachojua.... english yenu yenyewe mnayoizungumza ni mbovu pia kiswahili chenyewe mnachokizungumza ni kibovu.... sijui tuwaweke tabaka ganiJust the same way imewafundisha kiingereza kidogo, sana sana anael
Leo umejitahidi na kuleta apartment! Kongole, ila najua iko pale karibu na beach. Nairobi apartments kama hizo ziko kila mahali. Hiyo ni moja ya tofauti zilizopo kati ya Dar na NairobiMsasani apartments
![]()
Msiwe mnapost ...me apartment.moja.. APA. 😡 iyo aina swag...labda estateMsasani apartments
![]()
Asantenice road
Punguza kulialia kijana life is too short..Msiwe mnapost ...me apartment.moja.. APA. 😡 iyo aina swag...labda estate
C.kulia. zinatia aibuPunguza kulialia kijana life is too short..
Huenda wewe sio resident wa Dar so nakuomba uingie Google earth uone vile jiji lenu limejaa nyumba za mabati kila mahali. Google earth doesn't lie my friend.![]()
![]()
sawa sawa Mzee wa google earth endelea kujifariji kumbe google earth yaonyesha vibanda vilivyotapakaa.... basi usijali tutafugia kuku
Hahahahahahahaha, kumbuka real estate ya Dar value yake $12B wakati Nairobi nib$9B, hiyo pesa yote inaenda wapi kama nyumba ni duni kama Nairobi?. Dar hoyeeeeeHuenda wewe sio resident wa Dar so nakuomba uingie Google earth uone vile jiji lenu limejaa nyumba za mabati kila mahali. Google earth doesn't lie my friend.