Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

PARK CENTRAL (Penthouses)

(Mombasa Rd/Southern Bypass Turnoff-Overlooking Nairobi National Park)

parkcentral.jpg


parkcentral1-1600x900.jpg


penthouse-living.jpg


parkcentral2.jpg


penthouse-bed.jpg


parkcentral3.jpg


pool-view-2.jpg


fireplace.jpg


Park-Central-Location-Map-09.jpg
 
Taking a stroll through nairobi streets, one thing I'm always amazed my city is how you find green big trees and bushes even right at the heart of the CBD. Impressive i must say, they didn't compromise on environmental conservation and it gives it some natural beauty. I know of cities that literally have plastic or man made trees
20180226_154443-jpg.702278
20180226_154504-jpg.702279
20180226_154331-jpg.702280
20180226_154240-jpg.702281
20180226_154218-jpg.702282
20180226_154023-jpg.702283
20180226_154048-jpg.702284
20180226_154111-jpg.702285
20180226_154327-jpg.702286
 
Police shoot, kill Meru University student leader as protests turn ugly
Please Kenyans, if you want to be respected, you must start to respect yourselves first. Where is the logic of having big houses and good roads but you don't value life?, a student is killed like a wild animal but no one cares you keep on posting photos of buildings as if life to you has less value than those buildings.


usijihesabie haki.si mumeua mwanafunzi juzi nyie vilaza? ?kwenye msafara wa mamba kenge wamo.
 
usijihesabie haki.si mumeua mwanafunzi juzi nyie vilaza? ?kwenye msafara wa mamba kenge wamo.
Kwanza alipigwa risasi kwa bahati mbaya, wananchi na serikali wote waliungana kulaani tukio lile, nchi nzima iliungana kwa pamoja kuonyesha thamani ya uhai wa mtanzania, askari waliohusika walikamatwa, serikali ilishughulika sana na kuhharimia mazishi, huo ndiyo ubinadamu. Kwenu huko hakuna yeyote anayelizungumzia pamoja na ukweli kwamba aliuliwa kwa makusidi, mwili wake umeburuzwa na kuachwa vichakani kama vile mbwa. Je thamani ya uhai wa mkenya na mtanzania ni sawa sawa kweli?
 
Kwanza alipigwa risasi kwa bahati mbaya, wananchi na serikali wote waliungana kulaani tukio lile, nchi nzima iliungana kwa pamoja kuonyesha thamani ya uhai wa mtanzania, askari waliohusika walikamatwa, serikali ilishughulika sana na kuhharimia mazishi, huo ndiyo ubinadamu. Kwenu huko hakuna yeyote anayelizungumzia pamoja na ukweli kwamba aliuliwa kwa makusidi, mwili wake umeburuzwa na kuachwa vichakani kama vile mbwa. Je thamani ya uhai wa mkenya na mtanzania ni sawa sawa kweli?


Wale wapinzani wanaocharazwa mapanga kila siku hawana thamani ya uhai au sio watanzania? mbona serkali haijakemea wala kugharamia mazishi? a despot's government is so hypocrisy.
 

Kifo cha huyu mwanafunzi aliyeuliwa na polisi leo hamjakisikia, au maisha yenu hayana thamani ukilinganisha na watanzania?, mtakumbuka last wiki watanzania walivyoshughulikia kifo cha yule mwanafunzi?,




lakini polisi huwa na grudge sana na a university comrade........during our time tuliwahi rushiwa teargas ndani ya hoteli tulimokuwa tukila.......and walivunja comrades wengi na fimbo zao.......you know if you are rioting and calling them losers or academic dwarfs then wapatane na wewe on your own....they won't hesitate decapitating you or terminating you all together.
 
Back
Top Bottom