El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
Maswali ya aina hii ndiyo yanayowadhalilisha wakenya na kuonyesha ni kwa jinsi gani uwezo wenu wa uelewa ulivyo mdogo, failed state inahusisha vipengele vingi, hiki kikiwa kimojawapo, lazima viwepo vyote kwa pamoja ndiyo uweze kupata hiyo status, US inaweza kuwa na viwili au hata vitatu, lakini kama haijafikisha haiwezi kiwa failed state.
Lakini kwanini ninyi kila kitu lazima mjilinganishe na US?, kwanini usingesema mbona South Afrika wana crime rate kubwa lakini sio failed state, yaani ninyi ni watumwa wa wazungu sana, kiasi cha kuhuzunisha na kusikitisha.
south Africa ni small fish kwa hii dunia...we can only talk of superpowers
