Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna usalama kwao...kwani unataka warudishwe ndio uwakule umeinsist sana
usalama wa nn?? hvi kati ya kenya na tanzania ipi nchi salama ????😀😀😀😀 huwez nambia ni watanzania na hawarudishwi kwao haiwezekani
 
Umekubali...hakuna watu wanaishi hivi nai
f59a6a72676df6357c89079e69c7a8bc.jpg
nimekupa evidence za kibera sasa niletee evidence kua hapo ni dar nikupe dada yangu bure kabisa bila mahari😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
nimekupa evidence za kibera sasa niletee evidence kua hapo ni dar nikupe dada yangu bure kabisa bila mahari😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Tafuta picha zozote za Haiti na katika makambi ya wakimbizi huko DRC uziweke na useme hapo ni Nairobi bila ushahidi uone jinsi atakavyopagawa, wameona wanashindwa kwa kutumia facts wameamua kuaribu huu uzi kwa kuamua kupost bila ushahidi.
 
Tafuta picha zozote za Haiti na katika makambi ya wakimbizi huko DRC uziweke na useme hapo ni Nairobi bila ushahidi uone jinsi atakavyopagawa, wameona wanashindwa kwa kutumia facts wameamua kuaribu huu uzi kwa kuamua kupost bila ushahidi.
najua hana na hawez kuoata mpaka jua linasmama ndio maana anazidi kutapatapa hehe huyo mbona mnyonge wangu nammudu vzr sana😀😀
 
hehe njaa haiwez kuwaacha salama😀😀
GDP imeshindwa kuokoa jahazi😛😛😛
one good year njaa inatafuna maisha ya watu
C0028747-4D68-44D6-B8A3-D1A9F69E9537.jpeg
 
nimependa mtangazaji alivosema kua wafugaji wa kenya walioko karibu na serengeti tanzania nyasi wanazila kwa macho tu😀😀😀😀😀😀😀

dereva wa watalii wa kenya anakwambia ukivuka ukaingia park ya tanzabia bila kibali unakutana chuma hakuna mjadala asante uncle magu kaza zaidi

 
Back
Top Bottom