Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Guys we should let each other be now... This will never end and it's only getting childish and more childish..
hahahahaa... True word bro, ila ni thread nzuri kama watu waki behave, kwa mfano nimeona kuna watu wanapenda matusi akizidiwa kwa hoja utasikia mamako .... au matako...., sina haja kuwataja ila wana jijua. Kuna ujinga mwengine mtu anatunga data halafu ana insist au kuleta vitu ambavyo havipo. Mnao fanya hayo jaribuni kuacha thread iendelee ku trend kiheshima
 
I have lived in Nairobi for nine good years now lakini sijawahi kusikia kuna mtaa inaitwa river road. Mnajifanya sana mnajua Nairobi ila wengi wenu (the kodadas of this world) husikia tu redioni na kusoma mitandaoni. Desperate danganyikans
asante kwa kuropoka.
 
Endelea kupost picha za India
Hii picha ya india sawa😀😀😀
1F2ED024-3819-4FA9-937E-388498E9C234.jpeg
 
mkianza kutukana Kenyans ati sijui wanafananaje hiyo ni kudeviate kabisaa.......so kila mtu akae kwao polepole.Watanzania waisifu dar nasi tuendelee na NAIROBI yetu au vipi my frens
Hehehe baada ya kuona game gumu
Waswahili wanasema chungu kimevuja nyama mchuzi umebakia😀😀😀😀😀
 
Nairaland people are so mature.......huku ni emotions.Then again a thread like Daresalaam vs Nairobi should go to such platforms where neutral guys give their opinions......hapa tutazunguka tu forever
Kazi yenu kuwadanganya kwasababu wako over 50000 km far from you lakin mtanzania utamdanganya nn😀😀😀😀😀
 
Nairaland people are so mature.......huku ni emotions.Then again a thread like Daresalaam vs Nairobi should go to such platforms where neutral guys give their opinions......hapa tutazunguka tu forever
mbona kila siku unashinda jf. si uende huko kwa watu matured.

halafu jaribu tu kuwa mkweli, hivi kati ya wanageria wa nairaland na watz wa jf, watu gani wapo matured katika conversion na wakenya?.

matusi yote yale na cyber bulling mnazo fanyiwa na wanaija leo hii unawaita matured?smh.

licha ya utani na kurushiana maneno ya hapa na pale, mijadala ya wakenya na watz katika jf ni ya staha na ya kuvumiliana sana.huwezi linganisha na zile dharau mnazo fanyiwa na wanaija kule nairaland.
 
Nairaland people are so mature.......huku ni emotions.Then again a thread like Daresalaam vs Nairobi should go to such platforms where neutral guys give their opinions......hapa tutazunguka tu forever
Na hakuna 7bu yakuwapa mamluki kazi ya kusifia au kutangaza kwenu
 
mbona kila siku unashinda jf. si uende huko kwa watu matured.

halafu jaribu tu kuwa mkweli, hivi kati ya wanageria wa nairaland na watz wa jf, watu gani wapo matured katika conversion na wakenya?.

matusi yote yale na cyber bulling mnazo fanyiwa na wanaija leo hii unawaita matured?smh.

licha ya utani na kurushiana maneno ya hapa na pale, mijadala ya wakenya na watz katika jf ni ya staha na ya kuvumiliana sana.huwezi linganisha na zile dharau mnazo fanyiwa na wanaija kule nairaland.


Hahaha wanaija wamekwama huku Nairobi kwa wingi..... mji wao Lagos umechakaa afadhali hata Dar
 
Back
Top Bottom