Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

asante buda kwa kutuonyesha picha ya sister ako akiwa na boyfriend wake kwa barabara za nai.
hahaha hii ni picha nimepata tu mtandaoni nikaamua kuleta...kwa mwonekano wao nadhani hawa ni wanyarwanda...wamejaa sana Nairobi
 
Hahaha wanaija wamekwama huku Nairobi kwa wingi..... mji wao Lagos umechakaa afadhali hata Dar
wanaija wananikera utapeli tu....wengi wa hao waliopo nai ni maconmen. hakuna hata mmoja mwenye genuine business. watu hatari sana.

nikupe story moja.
hapa dar miaka 10 iliyopita kuna sister mmoja aliwahi kufanyiwa ukora mbaya sana na boyfriend wake mnigeria.

yule sister alitokea kumpenda sana chali. ikafika time wakaanza kuishi pamoja kwa keja ya dem.

mnaija akatumia chance hiyo kuiba document za nyumba ya dem na kutumia kama collateral ya kupata mkopo bank.

bank ilimpatia doo mingi sana, after one week ya kupata pesa, akatokomea zake south africa.

huku nyuma dem akaanza kusumbuliwa na maafisa wa bank kuhusu kurejesha mkopo.

ni story ndefu sana ila kwa ufupi ni kwamba yule dem alishindwa kulipa ule mkopo hatimaye bank wakauza keja via auction ili wafidie pesa yao.

mnaija alimwacha dem na ujauzito...so dem alichanganyikiwa sana mpaka akakaribia kuji-suicide.

hadi hii leo mnaija hajaonekana tz na yule dem sasa hivi anaishi kwa keja ya ku rent huku akihangaika kulea peke yake mtoto aliyeza na yule chali.

NB
siku zote ninapo ona manzi wa tz au kenya ana date na mnaija au mcongoman, najua lazima kuna siku atakuja fanyiwa ukora na kuachwa "solemba".
 
wanaija wananikera utapeli tu....wengi wa hao waliopo nai ni maconmen. hakuna hata mmoja mwenye genuine business. watu hatari sana.

nikupe story moja.
hapa dar miaka 10 iliyopita kuna sister mmoja aliwahi kufanyiwa ukora mbaya sana na boyfriend wake mnigeria.

yule sister alitokea kumpenda sana chali. ikafika time wakaanza kuishi pamoja kwa keja ya dem.

mnaija akatumia chance hiyo kuiba document za nyumba ya dem na kutumia kama collateral ya kupata mkopo bank.

bank ilimpatia doo mingi sana, after one week ya kupata pesa, akatokomea zake south africa.

huku nyuma dem akaanza kusumbuliwa na maafisa wa bank kuhusu kurejesha mkopo.

ni story ndefu sana ila kwa ufupi ni kwamba yule dem alishindwa kulipa ule mkopo hatimaye bank wakauza keja via auction ili wafidie pesa yao.

mnaija alimwacha dem na ujauzito...so dem alichanganyikiwa sana mpaka akakaribia kuji-suicide.

hadi hii leo mnaija hajaonekana tz na yule dem sasa hivi anaishi kwa keja ya ku rent.

NB
siku zote ninapo ona manzi wa tz au kenya ana date na mnaija au mcongoman, najua lazima kuna siku atakuja fanyiwa ukora na kuachwa "solemba".
shua
 
Antony-Trivet-Weddings-Kenyan-Wedding-Photographer-Nairobi-Wedding-Photographer-Paradise-Lost-Top-Kenyan-Wedding-Photographer-Nairobi-CBD-Kenya-Photographers-16.jpg

Is she wearing a garbage bag.??😀
 
wanaija wananikera utapeli tu....wengi wa hao waliopo nai ni maconmen. hakuna hata mmoja mwenye genuine business. watu hatari sana.

nikupe story moja.
hapa dar miaka 10 iliyopita kuna sister mmoja aliwahi kufanyiwa ukora mbaya sana na boyfriend wake mnigeria.

yule sister alitokea kumpenda sana chali. ikafika time wakaanza kuishi pamoja kwa keja ya dem.

mnaija akatumia chance hiyo kuiba document za nyumba ya dem na kutumia kama collateral ya kupata mkopo bank.

bank ilimpatia doo mingi sana, after one week ya kupata pesa, akatokomea zake south africa.

huku nyuma dem akaanza kusumbuliwa na maafisa wa bank kuhusu kurejesha mkopo.

ni story ndefu sana ila kwa ufupi ni kwamba yule dem alishindwa kulipa ule mkopo hatimaye bank wakauza keja via auction ili wafidie pesa yao.

mnaija alimwacha dem na ujauzito...so dem alichanganyikiwa sana mpaka akakaribia kuji-suicide.

hadi hii leo mnaija hajaonekana tz na yule dem sasa hivi anaishi kwa keja ya ku rent huku akihangaika kulea peke yake mtoto aliyeza na yule chali.

NB
siku zote ninapo ona manzi wa tz au kenya ana date na mnaija au mcongoman, najua lazima kuna siku atakuja fanyiwa ukora na kuachwa "solemba".
Kenyan banks would ask the other spouses consent too na kama ni mnigeria watachukua one month kufanya thorough background check ndio apewe mkopo........kwanza they insist so much on a source of income which is verifiable.....
.hapo ni bank walichemsha
 
hahahahaa... True word bro, ila ni thread nzuri kama watu waki behave, kwa mfano nimeona kuna watu wanapenda matusi akizidiwa kwa hoja utasikia mamako .... au matako...., sina haja kuwataja ila wana jijua. Kuna ujinga mwengine mtu anatunga data halafu ana insist au kuleta vitu ambavyo havipo. Mnao fanya hayo jaribuni kuacha thread iendelee ku trend kiheshima
Ni kweli ilikua uzi mzuri sana lakini utamu nikama umeisha na umebaki kupondana kwasababu hoja zimeisha. Watu wamejifunza mengi kutoka upande zote lakini utaifa kwanza, pride for country exceeds anything...
 
wanaija wananikera utapeli tu....wengi wa hao waliopo nai ni maconmen. hakuna hata mmoja mwenye genuine business. watu hatari sana.

nikupe story moja.
hapa dar miaka 10 iliyopita kuna sister mmoja aliwahi kufanyiwa ukora mbaya sana na boyfriend wake mnigeria.

yule sister alitokea kumpenda sana chali. ikafika time wakaanza kuishi pamoja kwa keja ya dem.

mnaija akatumia chance hiyo kuiba document za nyumba ya dem na kutumia kama collateral ya kupata mkopo bank.

bank ilimpatia doo mingi sana, after one week ya kupata pesa, akatokomea zake south africa.

huku nyuma dem akaanza kusumbuliwa na maafisa wa bank kuhusu kurejesha mkopo.

ni story ndefu sana ila kwa ufupi ni kwamba yule dem alishindwa kulipa ule mkopo hatimaye bank wakauza keja via auction ili wafidie pesa yao.

mnaija alimwacha dem na ujauzito...so dem alichanganyikiwa sana mpaka akakaribia kuji-suicide.

hadi hii leo mnaija hajaonekana tz na yule dem sasa hivi anaishi kwa keja ya ku rent huku akihangaika kulea peke yake mtoto aliyeza na yule chali.

NB
siku zote ninapo ona manzi wa tz au kenya ana date na mnaija au mcongoman, najua lazima kuna siku atakuja fanyiwa ukora na kuachwa "solemba".
Madada wakikenya wamefanyiwa maneno nahao manaija.. ukiingia google utapata madada wakikenya wakiwaonya wezao dhidi ya wanaija..

Hao watu niwanyama kweli..
 
wanaija wananikera utapeli tu....wengi wa hao waliopo nai ni maconmen. hakuna hata mmoja mwenye genuine business. watu hatari sana.

nikupe story moja.
hapa dar miaka 10 iliyopita kuna sister mmoja aliwahi kufanyiwa ukora mbaya sana na boyfriend wake mnigeria.

yule sister alitokea kumpenda sana chali. ikafika time wakaanza kuishi pamoja kwa keja ya dem.

mnaija akatumia chance hiyo kuiba document za nyumba ya dem na kutumia kama collateral ya kupata mkopo bank.

bank ilimpatia doo mingi sana, after one week ya kupata pesa, akatokomea zake south africa.

huku nyuma dem akaanza kusumbuliwa na maafisa wa bank kuhusu kurejesha mkopo.

ni story ndefu sana ila kwa ufupi ni kwamba yule dem alishindwa kulipa ule mkopo hatimaye bank wakauza keja via auction ili wafidie pesa yao.

mnaija alimwacha dem na ujauzito...so dem alichanganyikiwa sana mpaka akakaribia kuji-suicide.

hadi hii leo mnaija hajaonekana tz na yule dem sasa hivi anaishi kwa keja ya ku rent huku akihangaika kulea peke yake mtoto aliyeza na yule chali.

NB
siku zote ninapo ona manzi wa tz au kenya ana date na mnaija au mcongoman, najua lazima kuna siku atakuja fanyiwa ukora na kuachwa "solemba".
hehe...hao watu ni matapeli wa kimataifa
 
Kenyan banks would ask the other spouses consent too na kama ni mnigeria watachukua one month kufanya thorough background check ndio apewe mkopo........kwanza they insist so much on a source of income which is verifiable.....
.hapo ni bank walichemsha
nadhani kuna some alteration yule mnaija alifanya kwa document.

halafu wanaija kwa forgery hawana mpinzani africa. wana uwezo wa ku forge hadi passport ya kenya na ikaonekana real.
 
Nigeria wanasifia wakiona jambo zuri lakin msijidanganye kwamwe mko nao level moja. ..

Wanaijeria wako nyuma ya Kenya sana tena. Kenya ni greener pastures kwao, kama nyinyi tu Watanzania. Mwanzo we need to talk about your beggars in Kenya they are too many. Hio ndio biggest human labour force mnaleta Kenya. \\
 
Back
Top Bottom