Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzanians deep down your hearts you know your Dar inside out.......that's all.
93C21FC0-E259-405B-BF49-4DE90D800D97.jpeg
 
Guys we should let each other be now... This will never end and it's only getting childish and more childish..
 
wakati fulani nikiwa nakatiza katika mitaa ya nairobi CBD, nilishawahi kukutana live na kinyesi cha binadamu.

ilikuwa ni katika mtaa wa river road nyuma au mbele ya zilipo office za mabasi ya dar express na saibaba. haya ni mabasi maarufu ya kitz yanayo safiri kila siku dar to nairobi and vice versa.pia ni mtaa ambao zinapatikana offices za mabasi ya kwenda coast(mombasa).

kwa waliofika nairobi na kulifahamu jiji vizuri bila shaka wanaufahamu mtaa huu wa river road na vibweka vyake.

huu ni mtaa wenye machokoraa wengi na wakora wa kila aina. ni mtaa ambao machokoraa hulala baada ya pilika zao za mchana. wengi wa machokoraa katika mta huu hunya hovyo na kusababisha kuzagaa kwa kinyesi pembezoni mwa kuta za majengo.

this information is true cos nimeishuhudia mimi mwenyewe kwa macho yangu. najua wakenya wanajua ukweli huu, ila kama kawaida yao lazima watatoa povu while in denial.
I have lived in Nairobi for nine good years now lakini sijawahi kusikia kuna mtaa inaitwa river road. Mnajifanya sana mnajua Nairobi ila wengi wenu (the kodadas of this world) husikia tu redioni na kusoma mitandaoni. Desperate danganyikans
 
Apart from one picture with that lady who is a TV broadcaster, there is no evidence that those others are from Tanzania, Desperation made some of Kenyans to collect pictures from google and use them here, prove that those are from Tanzania, I promise you, these are not from Tanzania
All those are dar slum photos mainly when u were hit by floods
 
hehehe😀😀😀😀😀 mkajua na wabongo mutadawanganya kama watu wa nigeria


mkianza kutukana Kenyans ati sijui wanafananaje hiyo ni kudeviate kabisaa.......so kila mtu akae kwao polepole.Watanzania waisifu dar nasi tuendelee na NAIROBI yetu au vipi my frens
 
I have lived in Nairobi for nine good years now lakini sijawahi kusikia kuna mtaa inaitwa river road. Mnajifanya sana mnajua Nairobi ila wengi wenu (the kodadas of this world) husikia tu redioni na kusoma mitandaoni. Desperate danganyikans



Nairaland people are so mature.......huku ni emotions.Then again a thread like Daresalaam vs Nairobi should go to such platforms where neutral guys give their opinions......hapa tutazunguka tu forever
 
All those are dar slum photos mainly when u were hit by floods
So if you allow everybody to post anything without evidence, then the meaning of constructive arguments is lost, this forum will be no difference with most of Kenyans forums which most of the time people throw words to each other based on tribe or political divide with no evidences.
 
Back
Top Bottom