Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You know these Nairobi slum populations are exaggerated for Ngos to stay in business and keep the funds coming.......they have literally exaggerated all of them 10 times.................I dare any Dar resident to give .....there is an article saying 700k people in Nairobi live in informals.....but this one says 2.5 million.....the truth is that in Nairobi the slums are rarely visible even in aerial views.
kwa hiyo unataka kutuambia issue ya slum nchini kenya ni propanganda tu ya NGOs ili washawishi kutumiwa misaada?.

na kwamba nairobi haina slums?.
 
Hehe hvi wakenya mlikosea wapi????
😀😀😀😀 Hvi binaadamu anawezaje kuishi ndani ya haya mabanda ya nguruwe infact sina uhakika hata kama huyo nguruwe ataweza kuishi




























And no one cares about this. Wapo hapa wanatupa porojo za Avic towers
 
Manzese imepitia upgrading scheme ambayo pia imefanyika tandale mpaka ubungo-kibangu

Sisi Tanzania hatufanyi kumfurahisha MTU.. Tunafanya kuwasaidia wananchi kuondokana na umasikini na hali duni.

Kilichofanyika Manzase kwanza ilikuwa kuongeza accessibility.. Barabara ndogo nyingi zilikuwa proposed na zimeendelea kujengwa taratibu na serikali..

Pili kuwapimia watu viwanja na kuwamilikisha kisheria.. In return watu wameweza kukopa na kujenga majengo ya kudumu maana wana hakika na uwekezaji wao.

Tatu kumekaribisha huduma nyingi Leo kuna maofisi yako manzese .. Kuna huduma chungu mbovu za kijamii ziko.manzese.. Na nyumba kwa sehemu kubwa zinaendelea kuboreka sana.

Kwa kifupi kuona mabadiliko yake inabidi uangalie kwa ukaribu.. Lakini ni resettlement ya manzese na tandale ndio iliyo zaa sinza. Kama resettlement ya jangwani ilivyozaa mabwepande au kipawa ilivyozaa new kipawa.

Kitu kingine naona kinatuchanganya hasa watu wa battle hii tunaongelea vitu bila context. Mfano Nairobi in approx. 2.5 m people occupying only 6% of Nairobi land.

Dar has close to 70% of its land not surveyed. For lack of better terms all are called informal settlements .. But if you dig deeper ndio unajua how different we are.

The worst slums zinashida ifuatayo.. Watu hawana maeneo ya kutosha kuishi, wanakosa vyoo, hwana access roads, hawana huduma za kijamii kama shule, hospitali, masoko, Usafiri Wa umma, Umeme maji nk.. Majengo yao yamejengwa kwa inferior material..na neighborhood zao shughuli za kiuchumi sio sustainable.

Sasa hebu niambie wapi in dar pako katika hali hiyo niliyoitaja hapo juu. Without missing a single attribute. To save you time bro.. Hakuna.. Watakosa kimoja au viwili and most of times there is a room to change if investment is available..

For slums in Kenya.. 2.5m people in 6% of land means these people just to have enough land to live in.. Nairobi needs at least a quarter of its land to resettle these people. For a starter. And there after ndio waande improvement. Otherwise it will remain over crowded and slum in just better houses.
very educative analysis
 
Hadi wageni wanatuelewa




Abubakar Mgamba should stop licking indian ass. Why respond to stupid questions. Mibongo nayo na inferiority complex. That video shows like 4 highrise towers visible @ 3:39 which is all you have. Tena Mgamba ni tourist guide kitu gani??
 
You know these Nairobi slum populations are exaggerated for Ngos to stay in business and keep the funds coming.......they have literally exaggerated all of them 10 times.................I dare any Dar resident to give .....there is an article saying 700k people in Nairobi live in informals.....but this one says 2.5 million.....the truth is that in Nairobi the slums are rarely visible even in aerial views.
Acha porojo 2.5 million people na hiyo ni Kibera pekeyake. Mko busy mnaimba Uhuru tano tena
 
Abubakar Mgamba should stop licking indian ass. Why respond to stupid questions. Mibongo nayo na inferiority complex. That video shows like 4 highrise towers visible @ 3:39 which is all you have. Tena Mgamba ni tourist guide kitu gani??
Wivu unakusumbua
 
Watu wanasherekea blueprint wakat sisi tunatumia pesa kufungua southern circuit
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
6E099CAB-E5C6-466E-9D3C-2A0A978A662C.jpeg
 
Manzese imepitia upgrading scheme ambayo pia imefanyika tandale mpaka ubungo-kibangu

Sisi Tanzania hatufanyi kumfurahisha MTU.. Tunafanya kuwasaidia wananchi kuondokana na umasikini na hali duni.

Kilichofanyika Manzase kwanza ilikuwa kuongeza accessibility.. Barabara ndogo nyingi zilikuwa proposed na zimeendelea kujengwa taratibu na serikali..

Pili kuwapimia watu viwanja na kuwamilikisha kisheria.. In return watu wameweza kukopa na kujenga majengo ya kudumu maana wana hakika na uwekezaji wao.

Tatu kumekaribisha huduma nyingi Leo kuna maofisi yako manzese .. Kuna huduma chungu mbovu za kijamii ziko.manzese.. Na nyumba kwa sehemu kubwa zinaendelea kuboreka sana.

Kwa kifupi kuona mabadiliko yake inabidi uangalie kwa ukaribu.. Lakini ni resettlement ya manzese na tandale ndio iliyo zaa sinza. Kama resettlement ya jangwani ilivyozaa mabwepande au kipawa ilivyozaa new kipawa.

Kitu kingine naona kinatuchanganya hasa watu wa battle hii tunaongelea vitu bila context. Mfano Nairobi in approx. 2.5 m people occupying only 6% of Nairobi land.

Dar has close to 70% of its land not surveyed. For lack of better terms all are called informal settlements .. But if you dig deeper ndio unajua how different we are.

The worst slums zinashida ifuatayo.. Watu hawana maeneo ya kutosha kuishi, wanakosa vyoo, hwana access roads, hawana huduma za kijamii kama shule, hospitali, masoko, Usafiri Wa umma, Umeme maji nk.. Majengo yao yamejengwa kwa inferior material..na neighborhood zao shughuli za kiuchumi sio sustainable.

Sasa hebu niambie wapi in dar pako katika hali hiyo niliyoitaja hapo juu. Without missing a single attribute. To save you time bro.. Hakuna.. Watakosa kimoja au viwili and most of times there is a room to change if investment is available..

For slums in Kenya.. 2.5m people in 6% of land means these people just to have enough land to live in.. Nairobi needs at least a quarter of its land to resettle these people. For a starter. And there after ndio waande improvement. Otherwise it will remain over crowded and slum in just better houses.
Yes you have said it all. Large part of our city is not surveyed yet people build good homes in those unsurveyed settlements and get all required social services.

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Wazee Kibera inatishaa
Hivi kwa nin akina Mzee Kenyatta na Moi waliruhusu uwazi mkubwa kiasi hiki kati ya tajiri na masikini. Kwa kweli ujamaa japo una mapungufu yake lakini umetupa manufaa makubwa sanaa
 
madini yetu yamekamatwa kenya yakitoroshwa nje ya nchi bila kufata taratibu za forodha.

asante polisi wa kenya. ila msije mkakwiba hayo madini na kupoteza ushahidi.
2f0b971e9509db8458f42364fde350ff.jpg
 
Waonyeshe wenzako waione Dar ilivyo na hapo ilikua outside CBD.. Mwishoni mwa Video ndo alikua anaanza kuingia CBD
Why are you always arrogant man. Naonyesha kuwa yeah kuna sehemu nzuri dar na bado wapiga kelele kama mburukenge, ama hukuelewa nilikuwa namaanisha nini? Sometimes unafaa kuwa rralistic pia kidogo, useme ndio kuna sehemu nzuri za hii jiji sio ati kila saa oo mko chini sijui nini... Wewe hata umeangalia hizo video za nairobi ambazo nilituma?
 
Back
Top Bottom