thisdayes
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,610
- 4,557
This is unbiased and informed opinion, Nairobi hoi bin taaban. Mzungu ame close caseComment za Watazamaji![]()

This is unbiased and informed opinion, Nairobi hoi bin taaban. Mzungu ame close caseComment za Watazamaji![]()

zoom mwenyewe picha ujioneewala sio hzi na usijipe hopes kama ni hizo zinatoka soon zenyewe zitakua ajab get ready😀😀😀😀😀😀
Unasoma darasa la ngapi naona sio mwelewaghizo zote ni dar is slum
Huyu jamaa tangu ale ban zishamrukakroo bay sierra leone
Hahaha wakenya Wanambishia mpaka Mtalii/Youtuber kwamba Nairobi ni nzuri kuliko DarSasa MTU anawaambia ukweli kwasababu kashatembea kote
![]()
Nilikua naangalia Randomly sikucheki Title ya video, Sema nikiiona ntaiwekaTuwekee link ya hiyo video hapa
Nenda you tube click history alafu baadae click copy link ingia hapa PasteNilikua naangalia Randomly sikucheki Title ya video, Sema nikiiona ntaiweka
Nenda you tube click history alafu baadae click copy link ingia hapa Paste
Hiyo apoNenda you tube click history alafu baadae click copy link ingia hapa Paste
Mbna mgumu hvyo kuelewa weweeRita tower ni meter ngapi?
Halafu kumbe waniletea vitu vya 23flrs?!?! lol 😀
hzo zilitoka kama geresha by the way fro dar to morogoro kutakua na station 6 na from moro to dodoma kutakua na station 10 so hapo zimetimia 16???? usilazmishe kitu ambacho hakipo tulia baba😀😀😀😀😀zoom mwenyewe picha ujionee
funny how you have to go fishing for a mzungu.....to give you hopes....forgetting they are the same people who called you sleepy fishing village.........This is unbiased and informed opinion, Nairobi hoi bin taaban. Mzungu ame close case![]()
![]()
![]()
Angalia na hiyo halafu ukae kimyafunny how you have to go fishing for a mzungu.....to give you hopes....forgetting they are the same people who called you sleepy fishing village.........


Angalia na hiyo halafu ukae kimya
what's there to be seen......the same old things you've posted a million times.........pheww




Roho inakuchanika kwa Maumivuuu.. Na hio ni Posta tu..post hapa Rita Tower nihesabu mimi mwenyewe flrs zake. kisha uniambie urefu wake ni meter ngapi. uongo utaacha weweMbna mgumu hvyo kuelewa wewee
Rita tower ni 30flr
Ninachosemea ni kuwa TPA na PSPF zinaonekana ndefu sana kwakuwa ziko ukanda ambao gorofa inayofata ni 23flr ndo maana zinaonekana ziko juu sana
Ni kama ujenge nyumba ambayo pembeni yake kuna gorofa la 13flr nyumba yako itaonekana dwaf tu
Nyie majengo yenu ni mafupi ndo maana ata I&M Bank(18flr)
Linaonekana kwenye skyline
sijakuuliza station zitakua ngapi ila hizo ndio the main stations. ama wewe wafkiri sisi pia tuko na stations ya Msa na Nbo pekee?! akili kichwani....hzo zilitoka kama geresha by the way fro dar to morogoro kutakua na station 6 na from moro to dodoma kutakua na station 10 so hapo zimetimia 16???? usilazmishe kitu ambacho hakipo tulia baba😀😀😀😀😀
na stations ya pugu tayar design yake ishapitishwa wata release karibuni sana