BlietzKrieg
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,034
- 2,523
watch this
nimekimbia kuwatch kumbe barabara mbovu.
Bila good infrastructure ata mjenge kama dubai hakuna kitu hapo.
watch this
Hivi ujiulize kwanza maswala za huku kwenu. Daah!Wazee Kibera inatishaa
Hivi kwa nin akina Mzee Kenyatta na Moi waliruhusu uwazi mkubwa kiasi hiki kati ya tajiri na masikini. Kwa kweli ujamaa japo una mapungufu yake lakini umetupa manufaa makubwa sanaa
Umejieleza vizuri sana kuhusu tanzania... Kunajamba hamjui kuhusu Kenya slum and the population. Slums in Kenya population zao zili exaggeratiwa na NGO's ili waweze kutengeneza more cash from them.https://www.google.com/url?sa=t&sou...BhAB&usg=AOvVaw1n5RPTnrYzXASn7qX1O4yY&cf=1Manzese imepitia upgrading scheme ambayo pia imefanyika tandale mpaka ubungo-kibangu
Sisi Tanzania hatufanyi kumfurahisha MTU.. Tunafanya kuwasaidia wananchi kuondokana na umasikini na hali duni.
Kilichofanyika Manzase kwanza ilikuwa kuongeza accessibility.. Barabara ndogo nyingi zilikuwa proposed na zimeendelea kujengwa taratibu na serikali..
Pili kuwapimia watu viwanja na kuwamilikisha kisheria.. In return watu wameweza kukopa na kujenga majengo ya kudumu maana wana hakika na uwekezaji wao.
Tatu kumekaribisha huduma nyingi Leo kuna maofisi yako manzese .. Kuna huduma chungu mbovu za kijamii ziko.manzese.. Na nyumba kwa sehemu kubwa zinaendelea kuboreka sana.
Kwa kifupi kuona mabadiliko yake inabidi uangalie kwa ukaribu.. Lakini ni resettlement ya manzese na tandale ndio iliyo zaa sinza. Kama resettlement ya jangwani ilivyozaa mabwepande au kipawa ilivyozaa new kipawa.
Kitu kingine naona kinatuchanganya hasa watu wa battle hii tunaongelea vitu bila context. Mfano Nairobi in approx. 2.5 m people occupying only 6% of Nairobi land.
Dar has close to 70% of its land not surveyed. For lack of better terms all are called informal settlements .. But if you dig deeper ndio unajua how different we are.
The worst slums zinashida ifuatayo.. Watu hawana maeneo ya kutosha kuishi, wanakosa vyoo, hwana access roads, hawana huduma za kijamii kama shule, hospitali, masoko, Usafiri Wa umma, Umeme maji nk.. Majengo yao yamejengwa kwa inferior material..na neighborhood zao shughuli za kiuchumi sio sustainable.
Sasa hebu niambie wapi in dar pako katika hali hiyo niliyoitaja hapo juu. Without missing a single attribute. To save you time bro.. Hakuna.. Watakosa kimoja au viwili and most of times there is a room to change if investment is available..
For slums in Kenya.. 2.5m people in 6% of land means these people just to have enough land to live in.. Nairobi needs at least a quarter of its land to resettle these people. For a starter. And there after ndio waande improvement. Otherwise it will remain over crowded and slum in just better houses.
hiyo sasa ni mali ya Kenya....mkuu wa polisi Jaji na waziri watagawanamadini yetu yamekamatwa kenya yakitoroshwa nje ya nchi bila kufata taratibu za forodha.
asante polisi wa kenya. ila msije mkakwiba hayo madini na kupoteza ushahidi.![]()
kwanza wawazie watu wa kibera wanaishi 2.5 m people in a 6.6 km sq area hahah 😀😀😀😀😀Umejieleza vizuri sana kuhusu tanzania... Kunajamba hamjui kuhusu Kenya slum and the population. Slums in Kenya population zao zili exaggeratiwa na NGO's ili waweze kutengeneza more cash from them.
mmejifanya ni wema kwa watanzania😀😀😀😀😀hiyo sasa ni mali ya Kenya....mkuu wa polisi Jaji na waziri watagawana
Siwezi nikaangalia uchafu Wa NairobiWhy are you always arrogant man. Naonyesha kuwa yeah kuna sehemu nzuri dar na bado wapiga kelele kama mburukenge, ama hukuelewa nilikuwa namaanisha nini? Sometimes unafaa kuwa rralistic pia kidogo, useme ndio kuna sehemu nzuri za hii jiji sio ati kila saa oo mko chini sijui nini... Wewe hata umeangalia hizo video za nairobi ambazo nilituma?

Slums Extremely Poverty yani shida tupu.. Nenda tena YouTube andika Masaki, Oysterbay, mbezi beach, msasani, Kigamboni ili ujue Dar ilivyojengeka.. Sio Nairobbery sehem nzuri ni CBD tukama hio si slums kenya haina slum
hiyo sasa ni mali ya Kenya....mkuu wa polisi Jaji na waziri watagawana
Hahaha....kwa apartments hata Nakuru imewatosha.........Nairobi is neck to neck with Miami and SingaporeBati ndo roof tunazotumia Tanzania na nyumba zetu zipo kama kwenye hizi picha. Na apartment Dar zipo nyingi sana za kila aina.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
huo ndio ukweli. sidhani kama tz itapata kitu hapo.nadhani mtatumia tukio hili kulipiza baada ya kuuza ng'ombe zenyu na kuchoma vifaranga.hiyo sasa ni mali ya Kenya....mkuu wa polisi Jaji na waziri watagawana
Wataka ufahamu ama wivu hauwezi kuruhusu kukubali ukweli...Acha porojo 2.5 million people na hiyo ni Kibera pekeyake. Mko busy mnaimba Uhuru tano tena
Well then let's put things into perspective then, we'll Kibera has a population of around 300,000 people and it is the largest. That means there is an exaggeration of figures somewhere or under reporting. Relocating is done in phases and wouldn't be a challenge because a phase has been done smoothly before. But objectivity is not used in debates here so anything goes.Manzese imepitia upgrading scheme ambayo pia imefanyika tandale mpaka ubungo-kibangu
Sisi Tanzania hatufanyi kumfurahisha MTU.. Tunafanya kuwasaidia wananchi kuondokana na umasikini na hali duni.
Kilichofanyika Manzase kwanza ilikuwa kuongeza accessibility.. Barabara ndogo nyingi zilikuwa proposed na zimeendelea kujengwa taratibu na serikali..
Pili kuwapimia watu viwanja na kuwamilikisha kisheria.. In return watu wameweza kukopa na kujenga majengo ya kudumu maana wana hakika na uwekezaji wao.
Tatu kumekaribisha huduma nyingi Leo kuna maofisi yako manzese .. Kuna huduma chungu mbovu za kijamii ziko.manzese.. Na nyumba kwa sehemu kubwa zinaendelea kuboreka sana.
Kwa kifupi kuona mabadiliko yake inabidi uangalie kwa ukaribu.. Lakini ni resettlement ya manzese na tandale ndio iliyo zaa sinza. Kama resettlement ya jangwani ilivyozaa mabwepande au kipawa ilivyozaa new kipawa.
Kitu kingine naona kinatuchanganya hasa watu wa battle hii tunaongelea vitu bila context. Mfano Nairobi in approx. 2.5 m people occupying only 6% of Nairobi land.
Dar has close to 70% of its land not surveyed. For lack of better terms all are called informal settlements .. But if you dig deeper ndio unajua how different we are.
The worst slums zinashida ifuatayo.. Watu hawana maeneo ya kutosha kuishi, wanakosa vyoo, hwana access roads, hawana huduma za kijamii kama shule, hospitali, masoko, Usafiri Wa umma, Umeme maji nk.. Majengo yao yamejengwa kwa inferior material..na neighborhood zao shughuli za kiuchumi sio sustainable.
Sasa hebu niambie wapi in dar pako katika hali hiyo niliyoitaja hapo juu. Without missing a single attribute. To save you time bro.. Hakuna.. Watakosa kimoja au viwili and most of times there is a room to change if investment is available..
For slums in Kenya.. 2.5m people in 6% of land means these people just to have enough land to live in.. Nairobi needs at least a quarter of its land to resettle these people. For a starter. And there after ndio waande improvement. Otherwise it will remain over crowded and slum in just better houses.
or maybe this one
Eti similar....I know I was commending on the nicer part of dar too and it's similar to mombasa
Acha kufananisha Europe na shitholeWacha kuwatisha.. wengi wanafikiri ni Europe.. they have never seen that
Usilinganishe Miami au Singapore with shitholeHahaha....kwa apartments hata Nakuru imewatosha.........Nairobi is neck to neck with Miami and Singapore
porojo at it best.Kenyans, yesterday I was shocked to learn something. I had a business meeting with acertain CEO of a new company that has set up processing plant in Tz, they have started penetrating the Kenyan Market. The guy is from the Scandinavian country and the company is also from the same region. So I asked him why Tz and he said cause of the communism relationship that is why they chose the country..
Now what struck me was that the CEO is Incharge of Africa and he lives in Nairobi, He told me most CEO's running companies in Tz have homes in Nairobi..
Not only do there good musicians love Kenya..

nonsense as usual😀😀😀😀😀😀😀😀Kenyans, yesterday I was shocked to learn something. I had a business meeting with acertain CEO of a new company that has set up processing plant in Tz, they have started penetrating the Kenyan Market. The guy is from the Scandinavian country and the company is also from the same region. So I asked him why Tz and he said cause of the communism relationship that is why they chose the country..
Now what struck me was that the CEO is Incharge of Africa and he lives in Nairobi, He told me most CEO's running companies in Tz have homes in Nairobi..
Not only do there good musicians love Kenya..