Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

actually, without SA, Nigeria, Egypt and Kenya, there is no Africa...to some extent, I add Morocco, Angola and Ghana
 
actually, without SA, Nigeria, Egypt and Kenya, there is no Africa...to some extent, I add Morocco, Angola and Ghana
Ninyi ni vichaa tena wagonjwa wa kupenda sifa za kipumbavu, Kenya ni miongoni mwa nchi zinazoshindwa kuwalisha wananchi wake na kutegemea food donation, Kenya ina slums kubwa kuliko zote Africa, ina unemployment kubwa na deni kubwa kuliko nchi nyingi Africa, nchi ambayo duniani inahesabika kama failed state, eti unaitaja kuwa kundi moja na Angola, Morocco na Ghana, ninyi hamna akili hata kidogo, hebu sema ni vigezo gani unadhani Kenya inafanya vizuri hadi kuweza kuhesabika kuwa nchi ya kufikirika hapa Africa?, juzi tu mlipoteza uenyekiti wa nchi za Afrika dhidi ya nchi ndogo na dhahifu sana, huo umuhimu wenu ni upi?
 
Most of the people who comment under this thread wana ile ushabiki wa nchi yake lakini hawaongei ile hali halisi. Na worts is, wengi wanaozungumza hawajawahi tembelea hizo nchi mbili zote na wala hawajafanya research.
I have been in Nairobi and believe me ni pazuri kuliko Dar, thats the truth, tukubali tusikubali ndio ukweli.
Kwanza hali ya hewa kule ni nzuri kuliko Dar (which is no one's fault), Pesa yao iko vizuri, unaenda sokoni unapata kitu kinauzwa shillingi 45 Kenyan shillings wakati sisi tulishaacha na kutumia shillingi tano hadi zile shillingi ishirini na shillingi kumi, Airport ya Kenya ni nzuri na ni ya kamataifa kuliko ya Tanzania, Kenya kuna democracy ambayo hatuwezi linganisha na Tanzania nzima, Kenya wanafata sheria zao ambapo Tanzania unaweza kamatwa na huna kosa na bado ukazuiliwa dhamana na usitoke. Mwisho kabisa Kenya Airways ni moja kati ya the best Airline in the whole of Africa mean while Air Tanzania inaendeshwa kwa hasara. And the list goes on.
Tanzania kwa upande mwingine. tunasifiwa kwa kuwa na the largest shopping Market in East Africa that is Kariakoo.
Pamoja na yote bado am still a proud Tanzanian.
Duuu kwa swahili hii labda umeishi Kenya miaka 30
 
actually, without SA, Nigeria, Egypt and Kenya, there is no Africa...to some extent, I add Morocco, Angola and Ghana

Right,the 4 Africa's anchor states! If it works in Nairobi,Lagos,Cairo or Jo'burg it's good to go...Timbuktu or Dar will have no choices. We also say, if you launch it in London or New York on Friday be assured to find it the following week in Nairobi or Cape Town!
 
Duuu kwa swahili hii labda umeishi Kenya miaka 30
Nigga u dont need to stay in Nairobi for thirty years to see their success. Mh point was watu wanabisha bila reference, mwingine aniongelea Nairobi as if ashwahi ku as much as kwenda ila ni kuona tu kwenye Tv na mitandao, mwingine anaongela Dar as if ameshafika while anaiona tu kwenye mitandao na Tv, the best judge here is someone who is neutral and has atleast been to both places even if just once.
 
Nigga u dont need to stay in Nairobi for thirty years to see their success. Mh point was watu wanabisha bila reference, mwingine aniongelea Nairobi as if ashwahi ku as much as kwenda ila ni kuona tu kwenye Tv na mitandao, mwingine anaongela Dar as if ameshafika while anaiona tu kwenye mitandao na Tv, the best judge here is someone who is neutral and has atleast been to both places even if just once.
Hii swahili si ya tz wala mombasa
 
I repeat, SA, Nigeria, Egypt and Kenya form Africa..hizi ndizo tunaziita swing states...bila nchi hizi, Afrika si Afrika...povu tumezoea
ndio povu la siku hilo😀😀😀😀😀
ikiwa security na chakula kwenye nchi yenu ni shida vp mtasumbua africa...... bro be serious
 
Nigga u dont need to stay in Nairobi for thirty years to see their success. Mh point was watu wanabisha bila reference, mwingine aniongelea Nairobi as if ashwahi ku as much as kwenda ila ni kuona tu kwenye Tv na mitandao, mwingine anaongela Dar as if ameshafika while anaiona tu kwenye mitandao na Tv, the best judge here is someone who is neutral and has atleast been to both places even if just once.
so unalazmisha kuitwa mtanzania😀😀😀

jaribu njia nyingine hii imesha fail tayar pole na asante kwa kuja🙄🙄🙄
 
In the 19's kenya was almost dead due to Moi, in 2002

Same here the Kenya of 90's is not thesame..
For your infor in 2002 kenya grew by negative two ifact the gap between Tz and Kenya was 5b, it was projected tz will surpass kenya in less than 5years.. Today the gap is over 20b and keeps widening...Keep dreaming nigga.
tafuta data sahihi 😀😀😀 usitegemee data za kupika ndizo zitawasaidia huo uchumi kenya uko wap??

ikiwa debt to GDP ratio ni 60% na leo mumefkia hatua yakukopa debt to pay debt bado unajipa matumaini kuna uchumi

munaenda kujenga SGR iliopitwa na wakat 20 yrs ago tena kwa bei mbaya sana inaeza kugharimu kulipa deni hilo zaidi ya 50 yrs according to economists

gari moshi from msa to nai 470km cost 4b usd 😀😀

kweli safari hii mumepata mjanja na bado cost of operations zimekua kubwa mpaka reli ya mizigo inakosa wateja na huku ya abiria nauli zimepanda sana
economy from 700 to 1200ks
1st class 3000 to 5100ksh bado unaona sawa tu😛😛

alaf leo munawaza electric wakat is too late mushaharibu na kupoteza alot of money ambayo imeingiza nchi kwenye dimbwi kubwa sana hakuna sector inayofanya vzr kenya zote zinapumulia mashine, kq ndio usiseme inakufa huku inajitazama😀😀😀

utalii ndio kwisha kabisa labda sector muliobakiza inapumua ni uchukuzi i mean bandari lakin zilizobaki kwisha leo njaa inatikisa nchi one good year hakuna better solution huku inflation unazidi kupaa na kuumiza uchumi

uhuru kenyatta hatakiwi kushindana na tanzania kwasabbau tanzania ina resources nyingi sana na ndio zinaanza kutumika sasa lasivo ataingiza hio nchi kwenye giza kama vile IMF walivomuonya kwenye debt

uchumi wa tanzania unakua kwa kasi sana kwasababu ndio inaanza kutumia resources zake na serekali imejitahidi kubana matumizi na kubana wizi wa pesa za umma ndio maana unaona magufuli pesa anayo yakutosha anajenga reli electric modern train in africa phase one na two 722km 3.16b usd kwa pesa zake mwenyewe, kanunua ndege 7 kwa pesa zake more than 1b usd, barabara nyingi zinajengwa, anajenga biggest dam in EA kwa pesa zake 2b usd, juzi katoa almost 500m usd kusambaza maji na kuchimba visima kwenye vijiji zaidi ya 13000, ukija kwenye kilimo tanzania inafanya vyema sana katoa kodi zote za mazao ndio maana tumecontrol inflation one year 4%, ukija kwenye madini kabana hajuna madini kutoka nchini na anajenga soko kubwa la tanzanite arusha, yani sijui kama 5 yrs mutaonekana humu😀
 
tafuta data sahihi 😀😀😀 usitegemee data za kupika ndizo zitawasaidia huo uchumi kenya uko wap??

ikiwa debt to GDP ratio ni 60% na leo mumefkia hatua yakukopa debt to pay debt bado unajipa matumaini kuna uchumi

munaenda kujenga SGR iliopitwa na wakat 20 yrs ago tena kwa bei mbaya sana inaeza kugharimu kulipa deni hilo zaidi ya 50 yrs according to economists

gari moshi from msa to nai 470km cost 4b usd 😀😀

kweli safari hii mumepata mjanja na bado cost of operations zimekua kubwa mpaka reli ya mizigo inakosa wateja na huku ya abiria nauli zimepanda sana
economy from 700 to 1200ks
1st class 3000 to 5100ksh bado unaona sawa tu😛😛

alaf leo munawaza electric wakat is too late mushaharibu na kupoteza alot of money ambayo imeingiza nchi kwenye dimbwi kubwa sana hakuna sector inayofanya vzr kenya zote zinapumulia mashine, kq ndio usiseme inakufa huku inajitazama😀😀😀

utalii ndio kwisha kabisa labda sector muliobakiza inapumua ni uchukuzi i mean bandari lakin zilizobaki kwisha leo njaa inatikisa nchi one good year hakuna better solution huku inflation unazidi kupaa na kuumiza uchumi

uhuru kenyatta hatakiwi kushindana na tanzania kwasabbau tanzania ina resources nyingi sana na ndio zinaanza kutumika sasa lasivo ataingiza hio nchi kwenye giza kama vile IMF walivomuonya kwenye debt

uchumi wa tanzania unakua kwa kasi sana kwasababu ndio inaanza kutumia resources zake na serekali imejitahidi kubana matumizi na kubana wizi wa pesa za umma ndio maana unaona magufuli pesa anayo yakutosha anajenga reli electric modern train in africa phase one na two 722km 3.16b usd kwa pesa zake mwenyewe, kanunua ndege 7 kwa pesa zake more than 1b usd, barabara nyingi zinajengwa, anajenga biggest dam in EA kwa pesa zake 2b usd, juzi katoa almost 500m usd kusambaza maji na kuchimba visima kwenye vijiji zaidi ya 13000, ukija kwenye kilimo tanzania inafanya vyema sana katoa kodi zote za mazao ndio maana tumecontrol inflation one year 4%, ukija kwenye madini kabana hajuna madini kutoka nchini na anajenga soko kubwa la tanzanite arusha, yani sijui kama 5 yrs mutaonekana humu😀
Wee jamaa mshamba.kweli....sisi.kujicompare na nyie..... We unaota 2....nendeni kwa ligi zenu Mozambique
Ni namna ya kujibu hayo matapishi uliyoandika
 
Back
Top Bottom