mombasa254
JF-Expert Member
- Dec 2, 2017
- 1,026
- 215
Nyie zidini compost kibera.....sijui njaa.........but all in all mnasoma no
Kati ya nchi hizo ulizotaja, tutajie ni mambo gani Kenya inalingana nazo?, zaidi ya sifa mnazolazimisha, Kenya kamwe hakuna mtu anayeweza kuifikiria na kuiwaza, zaidi mnacholinganisha ni GDP, hata walala hoi wenzenu wanaokufa kwa njaa kama ninyi hapo Ethiopia hamuwafikii, vipi Egypt au Angola?I repeat, SA, Nigeria, Egypt and Kenya form Africa..hizi ndizo tunaziita swing states...bila nchi hizi, Afrika si Afrika...povu tumezoea
Niambie sifa gani..... Juu wee maembe 2 omba omba wtz wamejaa.Kenya kilacountyKati ya nchi hizo ulizotaja, tutajie ni mambo gani Kenya inalingana nazo?, zaidi ya sifa mnazolazimisha, Kenya kamwe hakuna mtu anayeweza kuifikiria na kuiwaza, zaidi mnacholinganisha ni GDP, hata walala hoi wenzenu wanaokufa kwa njaa kama ninyi hapo Ethiopia hamuwafikii, vipi Egypt au Angola?
Are you neutral?, may be. Is Kenya more democratic than Tanzania?, but according to International rankings, Tanzania is leading in EA, which rankings are you using to support your points?.Nigga u dont need to stay in Nairobi for thirty years to see their success. Mh point was watu wanabisha bila reference, mwingine aniongelea Nairobi as if ashwahi ku as much as kwenda ila ni kuona tu kwenye Tv na mitandao, mwingine anaongela Dar as if ameshafika while anaiona tu kwenye mitandao na Tv, the best judge here is someone who is neutral and has atleast been to both places even if just once.
Hehehe safari com has the branches in whole over Kenya, being with a headquarters in Nairobi does not mean the company is generating all that money with kiberans only..? Recent boycotting was done by kiberans only in which safari com faced some heavy consequences.?Kuna wakati inashuka mpaka
Think of it,Safaricom's annual turnover only is bigger than Burundi's national GDP! It's a fact Nairobi's GDP will go round that of Tz in circles
Huku Tanzania magereza yamejaa wakenya majambazi, na wengi tumewapiga risasi, nchi gani hiyo yenye kuexport ujambazi na watu wenye njaa?Niambie sifa gani..... Juu wee maembe 2 omba omba wtz wamejaa.Kenya kilacounty
Vipi kuhusu majambazi tunaowashikilia huku katika magereza?, vipi kuhusu wakenya tunaowasaka na kuwarudisha kwasababu ya kuishi vila vibali?Sisi kama wakenya vile tunaishi..Tanzania..... Hamna k2.... Nilipo ends kuinunua....peremende utamkuta bongolala akiwa na calculate r
You are too young to this thread in all aspects especially exposure maturity & reasoning capacity, huna mbele wala nyuma go back to some early pages and grow strong with them.Nigga u dont need to stay in Nairobi for thirty years to see their success. Mh point was watu wanabisha bila reference, mwingine aniongelea Nairobi as if ashwahi ku as much as kwenda ila ni kuona tu kwenye Tv na mitandao, mwingine anaongela Dar as if ameshafika while anaiona tu kwenye mitandao na Tv, the best judge here is someone who is neutral and has atleast been to both places even if just once.
Niambie sifa gani..... Juu wee maembe 2 omba omba wtz wamejaa.Kenya kilacounty
Akili yake ndogo huyo asikupotezee muda.You are too young to this thread in all aspects especially exposure maturity & reasoning capacity, huna mbele wala nyuma go back to some early pages and grow strong with them.
Njaaa IPI ama unaiskilia kwa media.....Huku Tanzania magereza yamejaa wakenya majambazi, na wengi tumewapiga risasi, nchi gani hiyo yenye kuexport ujambazi na watu wenye njaa?
Afadhali iyo lkn omba omba na chokora msa uoni ni aibuVipi kuhusu majambazi tunaowashikilia huku katika magereza?, vipi kuhusu wakenya tunaowasaka na kuwarudisha kwasababu ya kuishi vila vibali?
Kama huna oja jitie ndanipovu mkuu pole bana.
Kwahiyo majambazi wanaowaibia watu na kuwapiga risasi watu wasiokuwa na hatia kwako unaona ni hafadhali kuliko mtu anayeomba?, ndiyo sababu tunawafukuza huku kwetu na South Africa wamewakatalia kuingia nchi yao bila Visa pamoja na kuwabembeleza na kuwalamba miguu.Afadhali iyo lkn omba omba na chokora msa uoni ni aibu
Very good naona mmeendeleaoja=hoja.
wakenya ndio majitie.
MTU lazy atambuliwi kabisa.....Kwahiyo majambazi wanaowaibia watu na kuwapiga risasi watu wasiokuwa na hatia kwako unaona ni hafadhali kuliko mtu anayeomba?, ndiyo sababu tunawafukuza huku kwetu na South Africa wamewakatalia kuingia nchi yao bila Visa pamoja na kuwabembeleza na kuwalamba miguu.
oja=hoja.
wakenya ndio majitie.
Hivi watoto wanaoishi kwa kunyonyeshwa na mbwa ni nchi gani?, na wale wazee wa Samburu wanaotaka kuwaua watoto wao ili wasiteseke kwa njaa wanatoka nchi gani?Njaaa IPI ama unaiskilia kwa media.....