Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

utalii wa tz umekua kwa sababu ya ugaidi toka jirani somalia...no other reason bro...let me make that clear...watalii waliokua wakija nchini walianza kuogopa and sinc tz also has similar wildlif (big Five), they started flocking ur country...na hiyo ni 2012 juzi tu...before then tumekuwa tukiongoza...ila ukitaka kubisha bisha tu...bora tu usitoe data puani kama ilivyo mazoea😀😀😀
Pamoja na hilo la ugaidi,,lakini kubwa zaidi linaloongeza idadi ya Watalii ni Tz kuongeza nguvu ktk kujitangaza,bila kusau uboreshaji wa miundombinu kwenye eneo la utalii.!
 
utalii wa tz umekua kwa sababu ya ugaidi toka jirani somalia...no other reason bro...let me make that clear...watalii waliokua wakija nchini walianza kuogopa and sinc tz also has similar wildlif (big Five), they started flocking ur country...na hiyo ni 2012 juzi tu...before then tumekuwa tukiongoza...ila ukitaka kubisha bisha tu...bora tu usitoe data puani kama ilivyo mazoea😀😀😀

He should know that Tz only comes as a second choice! Wildlife Safaris will forever be associated with Kenya no matter what and the spill-over of Somali crisis as you rightly put it is what makes Tz a considerable distant option. Ask Americans or Europeans of their dream African Safari and Kenya is always on their lips.
 
Tanzania ndio nchi ya kwanza barani Africa kupurchase Bombardier CS 300 Series

Congrats! Brace yourselves for after-sales-services hoping you have enough trained expertise for maintenance. At your stage,you should have acquired tried and tested aircraft with enough back-up engineering servicing crew in this region like the B737s or the Embraer. Good luck with maintenance cost of those CS300-s
 
give us clear zones from an aerial view yawa....coz it's the same buildings at 3 different paranomic views
Mbona mvivu hivoo, check point A and B
A = City Centre

Notable buildings from the pic are like PSPF, TPA, MNF, BOT, EXIM, MZIZIMA

B = Kijitonyama

Notable buildings from the pic are MILLENNIUM TOWER, PANORA, NHC VICTORIA, NOBLE VICTORIA, SKY TOWER, MOROCCO SQUARE

da5b71a6b78709b9c1e0147d33b27a83.jpg


The distance between such points you can conclude yourself
Almost 8 to 10 Km's depend on roads you might use
e3592987dbd2b3bed6ceb5079181e570.jpg
 
Sasa nani kakuuliza??haha sitaki mbichi hizi...kubali apo mmeisha
 
tupunguze jokes bro plizz😀😀😀😀😀hivi unajua ni nchi ngapi zina direct flight hapa Afrika??? Kenya imepata 2018...Nigeria walipata 2015....sasa tz airports nikama vibanda vya kuku mnafikiri ni nchi ipi itawakubalia direct flights?
Zenu ni vibanda vya ugoro
 
so what?? countries like ethiopia and SA are buying kutoka Boeing na kampuni zingine with the same quality...

Ask him why KQ dispensed off with Airbus!? He'll be shocked to utter disbelief that the Canadians with their Willing-Seller,Willing-Buyer mantra didn't disclose all what it takes to operate those contraptions! I can see Willing-Seller,Wailing-Buyer very soon...😀😀😀
 
Most of the people who comment under this thread wana ile ushabiki wa nchi yake lakini hawaongei ile hali halisi. Na worts is, wengi wanaozungumza hawajawahi tembelea hizo nchi mbili zote na wala hawajafanya research.
I have been in Nairobi and believe me ni pazuri kuliko Dar, thats the truth, tukubali tusikubali ndio ukweli.
Kwanza hali ya hewa kule ni nzuri kuliko Dar (which is no one's fault), Pesa yao iko vizuri, unaenda sokoni unapata kitu kinauzwa shillingi 45 Kenyan shillings wakati sisi tulishaacha na kutumia shillingi tano hadi zile shillingi ishirini na shillingi kumi, Airport ya Kenya ni nzuri na ni ya kamataifa kuliko ya Tanzania, Kenya kuna democracy ambayo hatuwezi linganisha na Tanzania nzima, Kenya wanafata sheria zao ambapo Tanzania unaweza kamatwa na huna kosa na bado ukazuiliwa dhamana na usitoke. Mwisho kabisa Kenya Airways ni moja kati ya the best Airline in the whole of Africa mean while Air Tanzania inaendeshwa kwa hasara. And the list goes on.
Tanzania kwa upande mwingine. tunasifiwa kwa kuwa na the largest shopping Market in East Africa that is Kariakoo.
Pamoja na yote bado am still a proud Tanzanian.
 
so what?? countries like ethiopia and SA are buying kutoka Boeing na kampuni zingine with the same quality...
magufuli anapochagua kitu ogopa. Ni mtu wakufanya research
Next wait to see electric trains tutazo purchase
Siemens, Hitachi na Bombardier wame bid pia kwenye electric trains
 
Good gracious! Before ''dreamlining'' of flying to USA first work on capacity building to meet the best of aviation industry practices. Europe could be the best to gauge the waters if at all first you can fulfill EU stringent safety standards. Forget US for the next coming one decade or so if lucky!
Huna point hua unaandaa majarida tu humu
 
He should know that Tz only comes as a second choice! Wildlife Safaris will forever be associated with Kenya no matter what and the spill-over of Somali crisis as you rightly put it is what makes Tz a considerable distant option. Ask Americans or Europeans of their dream African Safari and Kenya is always on their lips.
Sasa waje Kenya kufanya nn buda?lakin kibera msiivunje inaweza saidia kukuza utalii
 
Kenya ndege zenu mnafanyia maintenance Saudi Arabia Dubai and your talking bout our CS 300 maintenance. Hivyo vyote viko kwenye mkataba,
Congrats! Brace yourselves for after-sales-services hoping you have enough trained expertise for maintenance. At your stage,you should have acquired tried and tested aircraft with enough back-up engineering servicing crew in this region like the B737s or the Embraer. Good luck with maintenance cost of those CS300-s
 
Congrats! Brace yourselves for after-sales-services hoping you have enough trained expertise for maintenance. At your stage,you should have acquired tried and tested aircraft with enough back-up engineering servicing crew in this region like the B737s or the Embraer. Good luck with maintenance cost of those CS300-s
Now your talking!!
 
Most of the people who comment under this thread wana ile ushabiki wa nchi yake lakini hawaongei ile hali halisi. Na worts is, wengi wanaozungumza hawajawahi tembelea hizo nchi mbili zote na wala hawajafanya research.
I have been in Nairobi and believe me ni pazuri kuliko Dar, thats the truth, tukubali tusikubali ndio ukweli.
Kwanza hali ya hewa kule ni nzuri kuliko Dar (which is no one's fault), Pesa yao iko vizuri, unaenda sokoni unapata kitu kinauzwa shillingi 45 Kenyan shillings wakati sisi tulishaacha na kutumia shillingi tano hadi zile shillingi ishirini na shillingi kumi, Airport ya Kenya ni nzuri na ni ya kamataifa kuliko ya Tanzania, Kenya kuna democracy ambayo hatuwezi linganisha na Tanzania nzima, Kenya wanafata sheria zao ambapo Tanzania unaweza kamatwa na huna kosa na bado ukazuiliwa dhamana na usitoke. Mwisho kabisa Kenya Airways ni moja kati ya the best Airline in the whole of Africa mean while Air Tanzania inaendeshwa kwa hasara. And the list goes on.
Tanzania kwa upande mwingine. tunasifiwa kwa kuwa na the largest shopping Market in East Africa that is Kariakoo.
Pamoja na yote bado am still a proud Tanzanian.
Kq inajiendesha Kwa faida?
 
OOOOH! Now I know you guys just love to compare yourselves with us, maybe to console yourselves that you are close. After we beat you in a thread you sensationally come up with another one, We are better than you in every possible way and you know it. Maybe this thread will make you happy for a moment but after several posts you will open another one. I am sure it is not your memory. We have like 10 threads already showcasing this things.
Remember that Kenya is a settlers country. You have many investors investing in yoir country while more that 70% of Dar es salaam is built on domestic success.
No its not true that you guys are better than us in every possible way, there are some where yoi lead and some we lead. Might I remind you that we speak better swahili, we have good music and our people are courteus, the same can not be said for Kenya, and that is just a few of the list of the things we have that you don't.
 
Most of the people who comment under this thread wana ile ushabiki wa nchi yake lakini hawaongei ile hali halisi. Na worts is, wengi wanaozungumza hawajawahi tembelea hizo nchi mbili zote na wala hawajafanya research.
I have been in Nairobi and believe me ni pazuri kuliko Dar, thats the truth, tukubali tusikubali ndio ukweli.
Kwanza hali ya hewa kule ni nzuri kuliko Dar (which is no one's fault), Pesa yao iko vizuri, unaenda sokoni unapata kitu kinauzwa shillingi 45 Kenyan shillings wakati sisi tulishaacha na kutumia shillingi tano hadi zile shillingi ishirini na shillingi kumi, Airport ya Kenya ni nzuri na ni ya kamataifa kuliko ya Tanzania, Kenya kuna democracy ambayo hatuwezi linganisha na Tanzania nzima, Kenya wanafata sheria zao ambapo Tanzania unaweza kamatwa na huna kosa na bado ukazuiliwa dhamana na usitoke. Mwisho kabisa Kenya Airways ni moja kati ya the best Airline in the whole of Africa mean while Air Tanzania inaendeshwa kwa hasara. And the list goes on.
Tanzania kwa upande mwingine. tunasifiwa kwa kuwa na the largest shopping Market in East Africa that is Kariakoo.
Pamoja na yote bado am still a proud Tanzanian.
Hali ya hewa inahusu?sijaona point bado...
 
Back
Top Bottom