Most of the people who comment under this thread wana ile ushabiki wa nchi yake lakini hawaongei ile hali halisi. Na worts is, wengi wanaozungumza hawajawahi tembelea hizo nchi mbili zote na wala hawajafanya research.
I have been in Nairobi and believe me ni pazuri kuliko Dar, thats the truth, tukubali tusikubali ndio ukweli.
Kwanza hali ya hewa kule ni nzuri kuliko Dar (which is no one's fault), Pesa yao iko vizuri, unaenda sokoni unapata kitu kinauzwa shillingi 45 Kenyan shillings wakati sisi tulishaacha na kutumia shillingi tano hadi zile shillingi ishirini na shillingi kumi, Airport ya Kenya ni nzuri na ni ya kamataifa kuliko ya Tanzania, Kenya kuna democracy ambayo hatuwezi linganisha na Tanzania nzima, Kenya wanafata sheria zao ambapo Tanzania unaweza kamatwa na huna kosa na bado ukazuiliwa dhamana na usitoke. Mwisho kabisa Kenya Airways ni moja kati ya the best Airline in the whole of Africa mean while Air Tanzania inaendeshwa kwa hasara. And the list goes on.
Tanzania kwa upande mwingine. tunasifiwa kwa kuwa na the largest shopping Market in East Africa that is Kariakoo.
Pamoja na yote bado am still a proud Tanzanian.