mombasa254
JF-Expert Member
- Dec 2, 2017
- 1,026
- 215
Una kiherehere...mob...ata iyo.tz haijulikani East africaKwahiyo majambazi wanaowaibia watu na kuwapiga risasi watu wasiokuwa na hatia kwako unaona ni hafadhali kuliko mtu anayeomba?, ndiyo sababu tunawafukuza huku kwetu na South Africa wamewakatalia kuingia nchi yao bila Visa pamoja na kuwabembeleza na kuwalamba miguu.