Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
haha jamaa anaji express tu....ama hakuna uhuru wa kujieleza nchini tz?muulize anajivunia tz baada ya kufukuzwa kenya??au kuolewa huku??
haha jamaa anaji express tu....ama hakuna uhuru wa kujieleza nchini tz?muulize anajivunia tz baada ya kufukuzwa kenya??au kuolewa huku??
Correction ,ukikosa point unakaba hadi uandishi...kufulia kubayaPoint of collection!!!!!
Smh
sasa mmeamka kwnye utalii 2012 we unaongea nn?😀😀😀😀ebu sarch data ya Kenya tourist arrivals from 2005 to 2015 ujionee...tz is just a second choice
sasa hii ndio nn nawe?? we huoni aibu kupost picha kama hii ilio na majengo ya kuhesabika na gaps kubwa kubwa kati kati...tafta similar pics za miji ya baharini kama Cape town, abidjan, Dakar, na Luanda ujionee..picha zilizochukuliwa from that angle



ukiipata nakupa hela.nai majengo yako mbali mbali kama transfomer za mitaa.Dar kwa joto ni kweli hua lifukuta vilivyo, suit wenye gari zao binafsi sio swali la kuuliza 7bu hutumia a.c.unafaa uishi nairobi hata wiki moja tu...weather shwari kabisa..huko Dar sijui huwa mnaishi aje huko..nchi yenye joto kana kwamba mpo kwenye oven...hivi nikuulize, watu huwa wanavaa suti wakienda kazi kweli na joto hilo lote??
basi hujui Nai...nitumie ya Nai kwa stail hii ikiwa na majengo yaliyokalibiana.ukiipata nakupa hela.nai majengo yako mbali mbali kama transfomer za mitaa.
Dar ina bandari na Kenya doesnt? Hivi kichwani upo vizuri? Naona umevamia thread. Pia vizuri alafu uludiOooh nikiongeza tu, if the comparison is between Nairobi and Dar es salaam and not Kenya and Tanzania. Then in terms of cities, Dar ina bandari and Kenya doesn't.
huwa nachukia sana nchi zenye joto...ndio maana hata Mombasa kuenda mimi ni sababu ya kujivinjari tu na wala si biashara...siwezi hata nikawekeza shilingi yangu Mombasa hata kuwe na nini...joto la Pwani hapana!!! no no no no no!!! never never!! mtu hajafika hata kazini pale Kariakoo CBD ashaanza kupambana na jasho...Dar kwa joto ni kweli hua lifukuta vilivyo, suit wenye gari zao binafsi sio swali la kuuliza 7bu hutumia a.c.
haha jamaa anaji express tu....ama hakuna uhuru wa kujieleza nchini tz?
Haha pole, jasho ndio pesa yenyewe lakin don't forget thathuwa nachukia sana nchi zenye joto...ndio maana hata Mombasa kuenda mimi ni sababu ya kujivinjari tu na wala si biashara...siwezi hata nikawekeza shilingi yangu Mombasa hata kuwe na nini...joto la Pwani hapana!!! no no no no no!!! never never!! mtu hajafika hata kazini pale Kariakoo CBD ashaanza kupambana na jasho...
basi hujui Nai...





naomba picha design ile pale juu.huwa nachukia sana nchi zenye joto...ndio maana hata Mombasa kuenda mimi ni sababu ya kujivinjari tu na wala si biashara...siwezi hata nikawekeza shilingi yangu Mombasa hata kuwe na nini...joto la Pwani hapana!!! no no no no no!!! never never!! mtu hajafika hata kazini pale Kariakoo CBD ashaanza kupambana na jasho...
Ingekua iyo ni factor basi kwa baridi iliopo njombe au Mbeya pangekua kumendelea kuliko Dar au Tanganiwakumbushe kuwa nchi zenye baridi huwa zina perform vizuri kiuchumi kuliko nchi zenye joto kali
kwenye picha hio majengo yamewachana wachana gap kubwa kubwa? hata sijui huyo jamaa alikuwa anafiiri nini akileta picha hio....miji kama Abidjan na Luanda zipo na picha bora zaidi ukipiga kutoka hio angle...natumia mfano wa miji hii sababu nairobi haina baharibuda nataka kuona density ya nainaomba picha design ile pale juu.
I meant to say Nairobi. Honest mistake .Dar ina bandari na Kenya doesnt? Hivi kichwani upo vizuri? Naona umevamia thread. Pia vizuri alafu uludi
https://www.quora.com/Why-are-colder-countries-more-developed-than-the-warmer-onesIngekua iyo ni factor basi kwa baridi iliopo njombe au Mbeya pangekua kumendelea kuliko Dar au Tanga
afadhali....kwa sababu joto la 35 degrees hapo ni matatizo tu na vile waislamu wana mazoea ya kujifunika funika duh!!!buda kwa ofisi kuna AC ukitaka natural unaenda ufukweni kuna upepo mzuri tu.halafu centre hakuna joto kihivyo sababu ni baharini.
labda huku pembezoni ktk makazi ya watu.