joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Hamuwezi kuifikia Tanzania katika kilometer nyingi za barabara, tatizo lenu ni kutotembea nje ya Kenya, pia kutotafuta taarifa. Tanzania ina kilometer nyingi za lami kuliko Kenya, na imeunganisha wananchi wengi kwa maji na umeme kuliko Kenya, kama unabisha tuanze kuleta the most up to date informations.In your dreams...uweje tuko na kilometa mingi za barabara kuwaliko?