Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sidhani kama wakenya watapata wakati wa kurudia tena hili, hasa ukizingatia kwamba majengo yale unataka kupost hapa ni yale yale tu ya PSPF, TPA, BOT, na mengine pale manne, ama kuna mageni???

Kimyaaaaaaa
Mmekimbia kabisa hamtaki ata kuonekana
 
Tutaendeleaje uku wameishiwa
Pamoja na kuleta majengo under20 bado tumewapiga
Tunawadai majengo manne ya above20 ambayo wameishiwa

Wakitama majengo under construction waje pia
Under construction hapo wasijaribu
Kuna zaidi ya 50 bado yanajengwa
na yote ni above 15fl
 
Wao wahangaikage na miji kama mwanza na mbeya huko lakini kwa dar wasihangaike kabisaa afrika mashariki wao wanatumiji tuwili tu nairobi na mombasa labda na NYELI lakini kelele kubwa kama nini.
 

Kimyaaaaaaa
Mmekimbia kabisa hamtaki ata kuonekana
We unaupungufu?? Unadhani mtu anashinda JF ama ana shughuli zake??
Tena huu ujinga mnaofanya hapa mimi siupendi kabisa!!! Mji si majumba, mji huchukua vipengee tofauti sana na majumba, kuna miji haina hata ghorofa lakini huwezi linganisha na miji kama Nairobi.

Miji huangaliwa
1. City planing
2. Infrastructure
3. Amenities
4. Ease of doing Business
5. Power availability
among many, Not how many tall buildings. Cities that are poorly planned and has no space opt for high buildings to maximize space utilization. There are towns in Sweden with no towers but they are world class.

Nairobi is trying so hard to be among the world class cities
Upper hill
17494838_399714323724886_4769846561309982720_n.jpg


17439337_816076535210049_170624718364213248_n.jpg
 
DMS city still have enough space/land to develop more modern satellite town, still have empty land suburb, what is needed is for each for district to play their roles
 
A city complete with, drainage, road, air, rail transport:

Nairobi is indeed world class
5P8Ql.jpg
 
Tutaendeleaje uku wameishiwa
Pamoja na kuleta majengo under20 bado tumewapiga
Tunawadai majengo manne ya above20 ambayo wameishiwa

Wakitama majengo under construction waje pia
Since when did the number of floors become a unit of measurement? Talk of meters not floors, usiniambukize ujinga tafadhali.
 
A city complete with, drainage, road, air, rail transport:

Nairobi is indeed world class
5P8Ql.jpg
Mbona unahamisha magoli wewe. Tunaenda jengo kwa jengo tuone majengo yenu marefu. Usihamishe tutakuja na huko subiri kwanza. Leta jengo unajibiwa.
 
Ufala ni kupima building na floors than metres na mnajiita world class city, sijui mlienda shule Wapi.
Iyo I&M building Iko na floors 18 but each floor ni 4metres. bt tpa ni 35floors but each floor ni 3metres.
Hope unaelewa iyo hesabu ya class 3
Nendeni mkalale mpumzike....
 
Back
Top Bottom