joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Magufuli hiyo ametoa mfukoni mwake, hiyo ni sawa na 160% ya mshahara wake, Magufuli sio tajiri wala corrupt person, hakuna mtu anayemchangia pesa yoyote. Rutto ni corrupt, fisadi na amezungukwa na rafiki corrupt, anaweza kuchangiwa pesa yoyote na rafiki zake au kutoa katika biashara zake alizodhulumu viwanja vya shule za msingi. Msijaribu kutuingiza katika competitions za michango, sisi sio watu wa kupenda sifa, wala sisi sio corrupt kama ninyi.15 million ata haifiki 1 million Kes infact its 750k ....ruto kwa fund raisings anachezea 10 million ama 5 million.....huyu magu hana doo
4 lanes, major highway,no road paintings, no street lights, shittest hole